JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
walevi wa3 walikodi bajaji ,dereva alipoona wamelewa sana aliwasha bajaji alafu akaizima.mlevi wa kwanza alisema asante kwa kutufikisha,wapili alimpa hela ,watatu alimpiga kofi dereva akamwambia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzungu alifiwa na mbwa wake akampeleka kanisani ili aombewe,padri akamkaripia kwa ukali hatuombei mbwa hapa! Mzungu akauliza ni kanisa gani wanaombea? Kwasababu nina sadaka ya million 5 kwa padri...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba uniandikie ulichosoma hapa! kimeandikwa kwa kiingereza cha kuficha ficha. 7H15 M3554G3 53RV35 7O PR0V3 H0W 0UR M1ND5 C4N D0 4M4Z1NG 7H1NG5...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baba: Unamjua Nyerere? Mtoto: Simjui Baba: Pumbafu wewe, kuwa makini na masomo yako utafeli mitihani. Mtoto: Baba, unamjua Hamis? Baba: Simjui Mtoto: Pumbafu wewe, kuwa makini na ndoa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ankara (bill) ilivyomchanganya Massawe. Massawe alikwenda baa na marafiki zake kupata kinywaji, baada ya kumaliza starehe, ankara ikaletwa ikiwa hivi:Manka shs 35,000 Marieta shs 20,000 Kekuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mlevi mmoja alikuwa ANAKOJOA mara ghafla AKAJA*BA,,,,,mwenzake akashangaa sana na kumuuliza, VP TENA???,,,,,akamjibu,UNASHANGAA NN WAKAT MVUA IKINYESHA C LAZIMA IPIGE NA RADI!!!!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"Naiombea chupi ya mume wangu,naitakasa kwa damu yako BABA YESU.Anapotoka katika nyumba hii,ivaliwe hapa na kuvuliwa hapa tu.Kama ataivua sehemu nyengine tofauti na hapa nyumbani ,Bwana YESU iwe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenzenu sijui ni macho yangu tu au ushamba labda..... nimekutana na hizi picha mahali..... Eti macho yangu yananiambia hizi picha zote BEFORE ni better than AFTER sasa najiuliza hiyo deki ni ya...
11 Reactions
225 Replies
17K Views
hello wana jamvi baada ya kupotea kwa muda sasa nimerudi tena
0 Reactions
5 Replies
852 Views
kuna masai mmoja alipanda gari walipo fika kati ya safari wakaambiwa wakachimbe dawa.masai akaenda haja kubwa baada ya kumaliza akachukuwa majani akachambia kumbe majani yale ni ya kuwasha kurudi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1:- The word ‘politics’ is derived from the word ‘poly’, meaning ‘many’, and the word ‘tics’, meaning ‘blood sucking parasites. 2: - Politics is the art of looking for trouble, finding it whether...
0 Reactions
2 Replies
543 Views
WACHAGA NA BIASHARA!? Ona tangazo la biashara kwenye duka la MR.TEMU jr: pata sukari, mayai, baiskeli, kanga, pilau, walikuku, sambusa, tairi za trekta, madaftari, bia aina zote, petroli, dizeli...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wasalamu, Natinga Arusha baada ya mara yangu ya mwisho 2010.nitakuwa kikazi zaidi,............................. byebye my parents Mamndeny and Mr Rocky my dear sister Remmy copy to...
5 Reactions
105 Replies
6K Views
Una akili sana wewe!
4 Reactions
206 Replies
8K Views
Hallow C.T.U Mamboz Kama hautajali ukirudi toka Dubai can we meet plizzzz we ukifika nicheck kwa namba hii +255........ and plizzz niletee OBAGI, na SAMSUNG GALAXY S3
0 Reactions
67 Replies
4K Views
Inaweza apply sehemu nyingi za maisha ya kila siku ya mtanzania, lakini hata pia kwa serikali ya JMT. Fikiria kwa sauti.
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Jamaa fulani alikuwa na tabia ya kujamba kwa nguvu kila aamkapo asubuhi. Mkewe alikerwa sana na tabia hiyo, alimkataza akachoka, siku moja akamwonya kuwa iko siku badala ya ushuzi, utumbo utakuja...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
1.Ukiona mtu anapenda kutembea na vibiriti lkn sio mvuta sigara ujue kuna k2 2.Ukiona mtu anampenda bob marley lkn apendi reggae ujue kuna k2 3.Ukiona mtu anazungumzia kwenda south africa ikiwa...
3 Reactions
81 Replies
15K Views
Ndugu zanguni siku hizi katika mtandao wa Facebook kuna utapeli mtindo wanaotumia ni huu na mara nyingi hawa ni watu kutoka ktika nchi za magharibi mtindo wenyewe ni huu. Anakutumia msg inbox...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kuna masai mmoja morani alinunua chupi mpya na ilikua siku yake ya kwamza kuvaa na akaanza safari kwenda kwao longido.gari lilipofika kati ya safari watu wakaambiwa wachimbe dawa na masai nae...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom