JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Muheshimu anayekununulia 2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini 3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa 4. Daima jitolee kufuata na kubeba vinywaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika zungukazunguka yangu maeneo fulani hapa Dar, si ndio nikakutana na hili tangazo!: "Dr. Mtabiri Bi. Hadija Kifaru, anatibu mabusha, mshipa wa ngiri, kumwita mpenzi aliyembali, nguvu za...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Jamaa watatu wamefanikiwa kufika kwenye kisiwa kisicho na watu wala kisichojulikana baada ya boti yao kuvunjwa na upepo mkali baharini. Ghafla wakaokota nyupa, ile chupa ikatoa sauti: "Kila...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MTOTO mmoja aliibiwa yebo kanisani akaanza kulia MCHUNGAJI akamuuliza unalilia nini? MTOTO; wameniibia yebo zangu MCHUNGAJI; muachie MNGU. MTOTO; MNGU hazimtoshi Yebo zangu zilikuwa ndogo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dereva wa tax alimpakiza mzungu kwa bahati mbaya yule dereva ukamtoka ushuzi wa kimya kimya. Dereva akadhani mzungu hajashtukia. Jamaa akazuga kwa kuanzisha mazungumzo na kumuuliza mzungu “Je hali...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
An arabic couple went to a hotel in London,one day in a room a husband heared his wife screaming...Farr...Farr..(which in arabic means a mouse)..so a husband wanted to inform the room service but...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
baada ya evolution hizi kupita kifuatacho ni dance bila nguo
0 Reactions
4 Replies
685 Views
  • Closed
Ban
Habari!
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Nilienda kununua tube light pale leo asubuhi lakini pilika za mle niliona kama vituko. Kuna ubaguzi kifulani vile niliouhisi. Wamasai ni walinzi na wanavaa rubega. Waswahili wenzetu wanavaa T...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Kama mnavyo jionea wana chit chat hivi vivazi mnavyo pendelea kuvaa wakati wa minuso alafu havina mikanda mgongoni siku unaweza aibika mbele ya wakwe.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau nipo tu sasa napumzika hivyo natafuta thread yoyte ya mtu niichakachue bila kupewa BAN, tena kabla sijafika mbali nashukuru sana bodi kwa kutusaidia kujua pia serengeti boys tulio nao...
4 Reactions
58 Replies
3K Views
Hali ya hewa Arusha kuna baridi safiiii..... kwa wageni watokao Mikoa mingine kuja Arusha plz make sure msisahau masweta.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mtoto anajulikana kwa jina la Agness Masogange, humu CC nani anamfunika huyu kwa figa yenye mvuto mithili ya namba 8?
1 Reactions
117 Replies
9K Views
Hii inatokea sana umekaa na mpenzi wako au mnatembea jamaa au mwanamke anatumia uhuru huo kwa kuto angalia mipaka yake, mfano anamkamata kalio au anamtekenya jilani au anamfinya, Je ukiishtukia...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
kwa mlio Dar niko safarini nakuja Dar nimepangiwa kufikia hotel moja mpya mitaa ya Mabibo hostel,naomba msaada kwa yafuatayo; wapi naweza kupata huduma ya massage mitaa hiyo manake niko hoi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nipo Mbinga mjini naomba mniambie ni maeneo gani ya kutembelea nyakati za jioni ili niweze kujichanganya na jamii ya hapa. Sijazoea kuwa isolated
0 Reactions
5 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Kesho saa nitakuwa iramba -singida wenyeji wa hapo wanamsemo wao usemao iramba nkolo kukela etanzania (iramba kubwa zaidi ya tanzania) nitakuwa na wasanii wa bendi ya msondo ngoma, badao natatizwa...
1 Reactions
42 Replies
2K Views
Naombeni ushauri Wakuu biashara hapa Arusha imekuwa ngumu na competition ni kali mno nafikiria kwenda kufungua ofisi Mtwara,naombeni ushauri huo mji ukoje na wenyeji wake wakoje? je ni idea nzuri...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanabodi, Nimeona nianze na nyie jamaa zangu wa Chit-Chat kuwatangazia ajira. Kuna mradi nimeanzisha wa usafiri wa bajaji kutokana na tatizo la foleni kwenye huu mji wetu wa Dar es Salaam...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom