JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimefikisha miaka 18 leo......sasa nina ruhusiwa kupata haki zote za msingi kama adult........Jumapili njema......wakuu
1 Reactions
194 Replies
8K Views
0 Reactions
1 Replies
905 Views
KITENDAWILI....! Chautundu ni kijana mdogo, hana miguu lakn anasimama, hali chakula lakn anatapika, hana mikono lakn anachapa mtu mpaka analia, ni kijana mdogo kiumbo lakn hurefuka na kunenepa...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Leo nimechekaje,.!? Kuna jamaa jinga kuona gari la TIGO kajificha kisa alikopa muda wa maongezi na hajarudisha!
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Siku ya kwanza MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?. MKE: Salama tu MUME: Uko wapi? MKE: Jamani si niko nyumbani MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa brender nisikie.....mke akawasha...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamaa karuhusiwa kutoka hospitali ya vichaa, akapandishwa kwenye ambulance hadi karibu na kwake, akaulizwa unapakumbuka kwako? akajibu ndio nyumba yangu ileee, wakatoka watoto wawili wamevaa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa wale wadau wa JF na member wa eo Tupo Hapa Pub. Tangazo hili ni kutaka kuwafahamisha kwamba, mnamo tarehe tajwa hapo juu tukutane pale Leo Tupo Hapa Pub kwa ajili ya kumpa pole na kumfariji...
17 Reactions
311 Replies
12K Views
Samahan kwa usumbufu najua nyie ni muhimu sana kwangu tena bila uwepo na maombi yenu nisingefika hapa nilipo na tena mara nyingi huwa mnanishauri mema siku zote na matumain yangu kwny hili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
cc Preta...Cantalisia...na wengineo.. kama kweli unampenda..utamnunulia.. TANMO. Rejao
0 Reactions
2 Replies
787 Views
Msiniulize kwa nini..... Copy: The secretary.....mke wangu nashukuru kwenye begi uliniwekea bullet proof jackets za kutosha,vinginevyo tungeishia angaza!
5 Reactions
76 Replies
4K Views
Kampeni hii inayoendelea ya FAO itasaidia sana kupunguza nzi na mbu.Kaa ukijua nzi na mbu sahivi ni kitoweo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KUNA WIZI UMETOKEA BENKI KUU ••••••••••••••••••••••••••••••••••• Jambazi "wote laleni chini pesa ni za serikali na maisha ni ya kwenu",wote wakalala chini HII INAITWA DHANA YA...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
HIZI NDIO SIFA ZA KILA MKOA YA TANZANIA; 1. DAR - Utapeli 2. ARUSHA - Ustaarabu 3. MBEYA - Matukio 4. MWANZA - Fujo 5. TANGA - Mapenzi 6. MOROGORO - Starehe 7. DODOMA - Bahati na Matusi ya...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
mfungishaji wa ndoa m1 baada ya kuwafungisha ndoa mashoga wawili, alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni mke na mume" lakini atafanyaje wakati wote ni wanaume? padri akapiga moyo konde...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
jamani chit-chat besides jamani nakiu mwenzenu..,.dah! Mambo gani haya sijanywa bia wiki ya tano hii jamani!!! Kah sio vizuri hivo kubaniana jama...najua leo ni bize monday lakini hata tubia...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Dogo: Mama hivi malaika si wanapaa? Mama: Ndiyo wanapaa, Kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: Nimemsikia baba jana anamuita dada (housegirl) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa? Mama: Ndiyo atapaa...
1 Reactions
1 Replies
950 Views
Jumapili moja,wakati akihubiri kanisani,mchungaji akaanza,"laiti ningekuwa na uwezo kwa namna ninavyokerwa na pombe, nigeamuru vilevi aina zote kwenye mabar vikamwagwe mtoni..........."...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani huyu kaka ni ndugu yangu huku uraiani. I mean nje ya JF na socia network tunaungugu wa kweli Yaani baba yake na mama yangu ni kaka na dada Kwa kiswahili tunaita binam ila mimi namwita kaka...
14 Reactions
91 Replies
5K Views
MKE: Mbona umebadilika sana mume wangu?? MUME: Nimekua mweusi nini?? MKE: Hapana toka utoke DAR unaniita MOSHLING, ndio nini?? MUME: Mimi nimewasikia watu wa Dar wanawaita watu DARLING, na mi...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Mwalimu wa kiingereza aliandika neno "KISS ME" na kuwaambia wanafunzi wasome kwa sauti. Mwl: say "kiss me"! wananfunzi: Mwaaaaaaa!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom