Imagine,
Nimeamka asubuhi mvua inanyesha,
Kutoka kwangu mpaka kituoni ni kutembea kwa dakika tano,
Nimetafuta mwamvuli ndani sipati kwasababu haujawahi kuwepo,
Haya nimejitolea kuloa kwa hizo...
Nko smwea nikasikia hii kitu.. Eti kuoa kuoa ni kawaida ila kuoa mchaga is an added advantage.. Dah nimecheka sana. Nimefikiria inawezekana ikawa kweli.. Ila siko sure sana. GT'ers is ths true...
MME: Natamani sana iwe hivyo.
MKE: Vipi, wataka niondoke?
MME: Hapana hata kidogo.
MKE: unanipenda?
MME: Ndo maanake.
MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?
MME: Siwezi huo upuuzi...
Wapendwa wanajamvi habari zenu, Ni matumaini yangu kuwa afya zenu kiroho, kiakili na kimwili pia hazina mushkeli, binafsi niko safi kabisa baada ya pasaka hii.
Ningependa nianze kwa kutoa pole...
nimekaa zangu hapa kibarazani sina mchongo wowote hela sina nawaza nipige mchongo gani nipate pesa mara simu yangu ikaingia namba ngeni
Kupokea nikaskia sauti tamuu ya mtto wa kike daa nilidata...
JUU YA NINI NIANZE KUFUATA FUATA WAKE ZA WATU KAMA WENGI WANAVYONIHISI HAPA??
WANAWAAKE WOOTE HAWA NIANZE TU KUFUATA MUKE YA MUHAYA?? NO WAY SHE IS NOT MY TYPE
Hayuko serious!!!!!!!!!!!
Simu ya binti inaita ngriiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiii. Binti anapokea. Jamaa upande wa pili akaanza:
Jamaa: Haloo mpenzi, vipi hali yako?
Binti: Kichwa kinanigonga si...
1. Kibanga ampiga mkoloni.
2. Siku ya gulio katerero.
3. Chilunda apambana na chui.
4. Ndoto za Kimweli.
5. Pamela na kipin.
6. Watoto wageuka mawe.
7. Brown ashika tama.
8. Lindu amuokoa...
YNNAH karibu sana Arachuga, mimi kesho naondoka kwenda Dar ila Ntarudi, kuwa makini mji mtamu huu na wenyeji wakarimu sana akili ku mkichwa
Hope mtoto anaendelea vyema tutaendelea kumwombea apone...
Ndugu zangu hebu tupia janga lililokukuta kati ya haya yafuatayo na ulijinasua vipi?
1. Ukiwa main speaker halafu sehemu za siri zinakuwasha balaa!
2. Upo kwenye basi unaelekea mkoani pembeni...
Kichwa cha habari kimejieleza...yani baada ya kula hela zake sana leo kanibana sana!kasema anakuja gheto.so nataka nimkoshe .....nitupie kinywaji gani ili anikumbuke hadi kwa mumewe?
Kuna mama mmoja alizaa mtoto na mchina kisha mtoto akafariki baada ya miezi michache.wakiwa msibani wanalia alisikika jirani yake alikuwa anamfariji akisema:-shoga nyamaza si unajua vitu vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.