Wajamaica wanne walikuwa wameketi huku wakipata majani mdogo mdogo.Baada ya bangi kupanda vizuri vichwani mwao wakaanza kujiuliza...what is the fastest thing in the world...
Familia moja kutoka mkoa mmoja wa kaskazini mwa TZ walikuwa wanauguliwa na baba yao.... baada ya vipimo pale hospitalini, waliambiwa mgonjwa inanidi apelekwe India..gharama ni 8,500,000/=...
Huwa nakosea katika maisha yangu siku hadi siku..
Katika kauli zangu kuna uongo
nimeleta aibu machoni pako
nisamehe Mungu mwenye rehema
Hata na hizi pesa nilizonazo ila kuna nyakati...
Wadau, kuna swali nimekua nikijiuliza kwa muda mrefu sana, hivi inawezekana Rais wa nchi akawa anatembea na wallet? pesa za nini sasa? wakati kila anapokwenda anakuta kashaandaliwa kila kitu!!!
habari wana chitchat
Mwenzenu yaliyonikuta nashindwa hata kuyaelezea hapa
kwani jana ushamba ulinitoka mwenzenu, nilibaki nimeduwaa
na kushangaaa mithili ya nyoka anatoka pangoni jamani,
Acha...
Jamaa karudi home usiku
kutoka job akaenda
chumbani kwa mtoto wake
wa miaka sita kumtakia
usiku mwema ila akamkuta
mtoto wake kalala anatetemeka kama anaota
ndoto hivi. Ikambidi
amuamshe na...
You can buy "Gold Poop Pills" for $200
When consumed, they will turn your poop sparkly,golden and smell good
Hizi pills zikifika Bongo itakuwa safi
zinafanya kinyesi chako kiwe na rangi ya...
Duh! Wadau huu ugumu wa maisha na wingi wa majukumu umepelekea kusahau kabisa siku hii muhimu sana katika maisha yangu....hii ni hatari aisee. Hadi kufika 2015 tutakuwa tunasahau mambo mengi ya...
Jamani Wadau Na Watu Wote Wanaotoka Mkoani Mbeya tujitahidi kuifanya mbeya yetu ya kijani kwa kutokata miti ovyo,tuhfadhi uoto wa asili,tufanye haya ili kuendelea kutunza hadhi ya JIJI Kubatizwa...
Poleni kwa mihangaiko ya siku ya leo wana CC...
Mwenzenu marafiki zangu sijui waliambizana???
Yaan marafiki zangu wapatao saba (7) ni wajawazito, ngoja niwataje kihivi...
1. Da' KJ
2...
Jamaa mmoja alikuwa na mpenzi wake mwanachuo. Binti ikawa amefika mahali amemchoka jamaa kwa
hiyo akamtumia barua kwamba waachane na ili kuonyesha msisitizo akaituma barua ikiwa na picha
yake na...
I MUST CONFESS,
This is How it started.....
She visited me and I gave her a bed to sleep on.
I asked her to open up so that i can find my way in.
She was so Nervous but i told her that...
vipi wewe..! unamuota mpenzi wako ulie nae?au unamuota x...........:tape2:...kwa wataalam nini siri ya ndoto?na kama humuoti kwa mazuri au mabaya what does it imply?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.