Namshukuru mungu kwa kunitangulia na kunifikisha Arusha Salama.
CC Arusha wing am in your town for 3 days .
CC Dar nishaondoka huko, thanks to the rain maana jua joto si kulieksipirience sana.
Habari Wadau!
kwanza naanza na samahani kwa wadada watakao kwazika nahili. Mimi sijui ni kwanini lakini huwa najikuta siwezi kununua mahindi ya kuchoma kwa wachomaji wanawake.Huwa naona kama...
Kesho jioni nina mpango wa kuwa mjini Arusha baada ya kazi kuniweka porini kwa wiki nzima. Sasa wana JF wa Arusha si tuambizane wapi pa kwenda na kukutana kesho jioni kuelekea usiku!
Siombi offer...
Jamaa katembelewa na kifo mambo yalikuwa hv; kifo:leo ni zamu yako nimekuja kukuchukua, si unaona kwenye list jina lako ni la kwanza? jamaa: sw basi karibu chakula ule ulale asbh ndo unichukue...
watu wote tunaishi kwa bajeti ila hii kiboko.
Mkinga mmoja alitumbikia kwenye kisima cha maji
akapiga kelele,Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,mume akauliza
"umenunua shilingi ngapi"?
Mke...
Watu wawili, mwanamke na mwanamme walikwenda kwa daktari mtaalamu wa mambo ya uzazi.
Daktari akawauliza, "Ninaweza kuwasaidia nini?"
Mwanaume akamwambia, "Tafadhali daktari unaweza...
Je, wajua kuwa vitu
vitamu huanza na herufi
"K" mfano keki,
kitumbua, kababu,
karanga,Kuku, kitimoto, kalimati,
TAJA KITU KINGINE KITAMU KINACHOANZA NA "K"
Habari zenu!
Kwa mara ya pili nimefanikiwa kutembea kutokea Mbagala mwisho hadi Mbweni ( masite ). msizoe sana kutumia magari, mkumbuke kutembea napo ni mazoezi.
'Ubarikiwe na siku yako iwe...
Afukuzwa hotelini, na kupigwa black list asikanyage hotelini hapo, mwenyewe adai binti alitaka kumbaka wakati alipokwenda kumtandikia kitanda.. Ahamia logde maeneo ya Pasiansi.....
More update to...
Jamaa alienda kuomba kazi ya ulinzi
akaambiwa awe amemaliza kidato cha 4 na awe anajua kiingereza
Naye akawauliza kwani wanaokuja kuiba ni wasomi au wazungu?
Ndugu wana JF mimi ni mgeni nataka kuwa salimia. Kwa walio nizidi umri Shikamoo
Kwa vijana wenzangu Maboooo
Kwa muda mrefu nimekuwa na soma trend mbali mbali kwa ujumla nimefurahi sana kuona ni...
LAW OF QUEUE:
If you change queues, the one you have left will start to move faster than the one you are in now.
LAW OF TELEPHONE:
When you dial a wrong number, you never get an engaged...
Wakiwa ndani ya kanisa mtoto alimuambia mamake,mama nataka kukojoa..mama akamjibu hio sio njia nzuri ya kusema.wakati mwingine ukiwa ndani ya kanisa na unaskia kukojoa sema unataka...
Mambo yanaendaje waungwana?
Mbele yenu ni Nakadori kutoka mkoa wa kilimanjaro, naomba uniulize chochote kuhusu mimi iwe kuhusu mapenzi, uchumi, elimu, na mengine yoote nami nitakujibu kwa ufasaha...
SHOCK at ICC as 8 WITNESSES refuse to testify against President Elect UHURU KENYATTA. Panic and anxiety gripped the offices of the International Criminal Court (ICC) on Monday, after 8 key...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.