JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kipaji Halisi...naelekea uzeeni sasa..nakula chumvi tu
6 Reactions
63 Replies
5K Views
habari wana cc? Baada ya kutoonekana kwenye familiya hiii kwamuda kidogo hatimaye nimerejea tena kundini.
0 Reactions
57 Replies
3K Views
Sasa wenzangu wanaJF, naogopa hata kulizungumzia hili tukio maana ni kikao kilichonipa aibu hata ya kuonesha sura yangu hadharani kimataifa maana imekaa kikwetukwetu vile Hebu sikia hili...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Zuzu alikuwa anatembea ghafla akaona kitu kama mavi akayagusa na kidole alafu akayalamba..... Akasema duuuh kumbe ni yenyewe NASHUKURU MUNGU SIJA YAKANYAGA!!!!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hebu niambie, ingekuwa wewe ni mwalimu wa chekechekea halafu vitoto viwili unavyovifundisha, cha kike na cha kiume vikaja kukuuliza: "Eti mwalimu, watoto kama sisi tunanaweza kupata ujauzito?"...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Prove that,0/O=2.Simple arithmetic kwa wale magwiji wa namba!
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Mpemba mmoja alikuwa akimfundisha mwanae wa kike, mambo yalikuwa hivi,,, mpemba:mba,mbe,mbi,,,,mbu! mwanae: mbona umeruka baba ulipofika mbi? mpemba:hiyo niliyoruka utafundishwa na mumeo!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shikamoni wakubwa zangu. Habari zenu vijana wenzangu. Natanga rasmi kua sina tena mahusiano na Suprise wala Rich woman Kuanzia sasa nitakua na Nitakua na mimisa ambae siku si chache...
4 Reactions
291 Replies
12K Views
Husband texts to wife on cell.. "Hi, what r u doing Darling?" Wife: I'm dying..! Husband jumps with joy but types "Sweet Heart, how can I live without U?" Wife: "U idiot! I'm dying my hair.."...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Hizi ndio sifa za kila mkoa Tanzania! DAR-Utapeli ARUSHA-ustaarabu MBEYA- matukio ya ajabu MWANZA-fujo TANGA- mapenzi MORO- Starehe DOM- kuomba IRINGA-kujinyonga RUVUMA-pombe RUKWA- uchawi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
jamaa alipita sehemu isiyoruhusiwa katika kambi ya jeshi na akapewa adhabu ya kuamisha tofali 1000! jamaa akajitahidi akabeba tofali 900 na akawa hoi!Na ghafla akakumbuka kuwa mkuu wa kambi ni...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Mi mgeni mnanikaribishaje humu
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Jinsi ya kujua simu uliyo nayo ni mchina: 1. Battery inajaa baada ya dk.3 2. Simu ina redio,tv,microwave oven,kikata kucha,mswaki,kiberiti cha sigara n.k. 3. Waweza kuchapa meseji zako kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina hofu sana ninapoongea na mtu au watu sijui nini tatizo
0 Reactions
19 Replies
2K Views
asleep already he 90210 Season 5 Episode 17 shielder Bud Dearborne can't additional the force to arise for anyone all-embracing organisation bureau is already asleep already he The Bachelor...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tende ndio jina lake wala lisikusumbue. Ni la ajabu umbo lake pia na utamue. Utamu na ladha yake tofauti na rangie. Ni kubwa haiba yake mlaji ndio ajuae. Ni laini nyama yake watamani ujilie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MLEVI mmoja alioa mke. Mkewe alikuwa hajatulia hata kidogo. Siku moja mkewe akiwa anajivinjari na msela, MLEVI akarudi home ghafla. mkewe akamwambia yule msela Usiondoke, lala hivo hivo mume...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Tatizo ni pale: - Unapoenda kwenye intavyiu ya kazi unakuta boss ni jamaa ambaye mlishawahi kugombana mahali flani. - Unapoandika status Facebook "Asante Mungu mshahara umetoka" halafu mwenye...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kijana aliamua kujiuwa baada ya kuharibika uso (reception) yake kutokana na ajali. Alipofika horofami ili ajitupe na afe, alimuona jamaa hana mikono na anacheza cheza. Akawaza mimim uso tu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mtu amepanga kufeli alafu ikatokea amefeli kweli je huyo amefeli au amefaulu?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom