JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama... "Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana... "Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saanaa .Atakusamehe tu..."Jamaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kesho bendera ya taifa itapepea nusu mlingoti, kutokana na msiba wa watu 246,000 waliokuwa wakitokea Form 4 kuelekea Form 5 kwa kutumia meli ya MV NECTA, wamezama ktk Ziwa Zero karibu na maeneo ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
(1) Apate fedha bila kufanya kazi. (2) Awe na akili bila kujisomea. (3) Apendwe bila kutendwa. (4) Ale chakula bila kunenepa.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hebu tazama watu ambao jina la ubini limeanza na herufi k walivyofanikiwa Jakaya kikwete Amani karume Jommo kenyatta Mwai kibaki Paul kagame Fareed kubanda Juma kaseja John kennedy...
1 Reactions
98 Replies
13K Views
Donn my Dear, Ni kitambo sana hatujaonana, Nilikuwa Lupango. Nakupenda sana, Ndimi, Shenazi Khamis Bweni.
0 Reactions
6 Replies
969 Views
1. Dar es salaam - utapeli 2. Arusha - heka heka 3. Mbeya - matukio 4. Tanga - majini 5. Dodoma - ombaomba 6. Mwanza - fujo 7. Kagera - misifa 8. Rukwa - uchawi 9. Kilimanjaro - ubahili 10. Mara -...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu juzi katika mihangaiko ya hapa na pale ndani ya jiji letu hili nlijikuta nko ndani ya DCM Toyota la Mbagala Rangi3 likiwa limeshehen nyomi la watu; sasa kwenye daladal kam mnnavojua...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
After studying law, Rwegoshora decided to move back to his home town of Bukoba to open his own practice. The first day, he saw a man coming up the sidewalk. He decided to make a big impression...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Unaamka asubuhi unakuta missed call saba kwenye simu yako, 1.Anayekudai 2.Unayemdai 3.Baba yako 4.Mama yako 5.Kaka yako 6.Dada yako 7.Mpenzi wako. je, yupi utaanza kumpigia....?? NIPE JIBU...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
MWENYEJI: Utakunywa soda au chai? MGENI: Nitakunywa soda wakati nasubiri chai ichemke!
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Baba na mama wakiwa wamelela ghafla usiku MTOTO: Mama nataka nikakojoe MAMA: Chukua tochi uende mtoto akanyoosha mkono kutafuta tochi kumbe baba yake alilala uchi mtoto akashika mboo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanawake maajuza walioishi katika "apartment building" moja walifika mahakamani wakishitakiana kwa mambo mbalimbali yaliyojiri katika pango hilo. Kelele zilizidi ndani ya chumba cha mahakama hata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kundi la wake za watu walikuwa kwenye semina kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa. Muwezeshaji akauliza, wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono. Akauliza tena...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mambo ya sayansi na teknolojia yamesaidia mambo mengi, lakini si kumbukumbu kuhuishwa ukubwani jamani!! Mama mweye umri wa miaka 65 alijifungua mtoto. Aliporuhusiwa toka hospitalini, akarejea...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mzee mmoja anayefanyia idara ya maji katika moja ya miji yetu, akawa anatamba mbele ya wafanyakazi wenzake juu ya mafanikio ya watoto wake kielimu na kimaisha. Akaanza: Mtoto wa kwanza yuko London...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dereva wa magari makubwa Mwana-mama aliamua kutafuta mbwa wa kumlinda ajapo safarini. Akampata mbwa kwa watu wanaofundisha na kuuza mbwa. Muuza mbwa alimwambia mama, "Mbwa huyu hapendi wanaume."...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Daladala iliondoka kariakoo kufika magomeni konda akauliza: kuna mtu anashuka? Abiria mmoja akajibu: tumeziacha nyumban labda mitandio. Daladala ikawa inakaribia maziwa, yule abiria alosema...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Katika mkutano wa kijiji jamaa akaibuka ghafla na kukatisha hotuba ya mwenyekiti, mkononi ana bonge la shoka huku akisema "nasikia nilipokuwa jela kwa miaka mi5 kuna jamaa alikuwa ananitafunia mke...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Dogo mmoja kapelekwa hospital na mdingi wake,dokta akawa anamwandikia dawa,baba yake akatoka nje kuongea na simu,mtoto akamuinamia dokta na kumwita kwa sauti ya chini,dokta! dokta!......kwenye...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
KCSE.2013 HISTORY PAPER 1. Q.1.If mwalimu Dida garners 44,784 votes using a car and some times walking on streets. Required: a)calculate how many votes he could have garnered if he...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom