sina la maana la kujitetea, ila najua sijatenda haki. Mtambuzi, Madame B, vin diesel, Kipaji Halisi, KakaKiiza, amu, Paloma, Zion Daughter na wadau wengine nilio waahidi kuja na wale wote...
Kuna jamaa mmoja Mswahili (Mbongo) alikwenda Afrika kusini akakodisha chumba katika hoteli ya hadhi ndogo.Akiwa ndani ya chumba akaona panya anamuangalia kwa macho makavu na akimshutua hatoki. Kwa...
"Usipojibu swali hili nitakufi...,nitakufi...,nitakatufinya kweli".Mwalimu mmoja mwenye hasira na kigugumizi alikuwa mwambia mwanafunzi wake darasani, baada ya mwanafunzi huyo kushindwa kujibu...
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisan haleluyaaa!!!! Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi, lakini tangu nimeanza kwenda kwa kaka Mushi...
Mwalimu kati ya hawa wapya bado alikuwa haizoea skuli na mazingira ya darsa! Basi katika kufundisha tumbo likamjaa gesi ndo akajikuta kijambo kimemponyoak kwa sauti. Basi wanafunzi walichekaje...
Mtihani wa Kiswahili.
SEHEMU E.
Eleza hatua za kuandaa Mdahalo.
Mwanafunzi kwa kutokujua maana ya Mdahalo akajibu hatua za kuandaa mdahalo kama ifuatavyo:
1.Unachukua mdahalo wako kisha...
Ukipita katika mitaa mingi ya miji utakuta vijana wameweka computer barazani mwa nyumba, wanaingiza nyimbo kwenye simu na kadhalika. Sasa najiuliza hivi ni lazima kufungulia muziki sauti ya juu...
Teacher: What is the opposite of laughing?
Student: fuc*king.!
Teacher: Shame on you! How is that?
Student: Laughing is ha ha ha ha and fuc*king.is ah ah ah ah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.