Jamaa Alimpa mimba binti wa kichaga, Baba mtu alikasirika na akapanga kumuua jamaa, Jamaa akamtumia salaam mzee kwa kumwambia mzee ni kweli mie nimempa mimba binti yako na kusema ukweli sina...
Kama unajua mpira vizuri tu. Kunatimu ya angola inataka wachezaji watatu tu.
NAFASI ZIPO WAZI ZA MBELE ya KUCHEZEA LIBOLO FC YA ANGOLA. Hii ni timu iliyomfunga Simba mmoja bila bongo nation...
Yani kama umegundua huu uzi hauchekeshi;
Utakuwa umepona kweli kweli na hivyo kuidhinisha kuwa ule msemo wa "Kichaa huwa haponi, ila anapataga nafuu tu" ni wa uongo
Usikasirike kichaa kisije...
Siku moja mzungu mmoja mmisionari alikuwa anatembea kwa mguu kutoka shambani kwake kwenda nyumbani kwake katika moja ya vijiji vilivyoko Mkoani Iringa (kwa watani zangu wahehe).
Sasa alipokuwa...
Ni siku kama ya leo miaka thelatha karibia
tarehe kama ya leo asubuhi iliwadia
upepo na vipepeo angani vilirukia
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
baba kapigiwa simu kidume mejipatia...
Tarehe 1 April unarudi nyumbani na unamkuta rafiki yako yuko na mpenzi wako kitandani wamekumbatia uchi, walipokuona mpenzi wako anakumbia honey ni siku ya wajinga duniani,tulikuwa tunakutania tu...
The race to date a BIG BOY is what
is now in vogue. Most ladies
nowadays can't function if there is
no cash involved. The urge for
material things has changed the
STORY OF LOVE.
Do NOT make...
Hapa nikiwa Markiti
KAD-AFLAHA MANTAZAKKAA!-Hakika amekwishafaulu aliyejitakasa na mabaya
WADHAKARASMA RABBIHI FASWALA! - Akakumbuka jina la MOLA wake na akaswali
BALTUUTHIRUUNAL...
Jamani wanakikundi cha JF naombeni msaada wenu maana nimetafuta mpaka nimechoka.nilikuwa naomba msaada wenu kwa hali na mali,mwenye roho ya kusaidia naomba ajitolee kwa moyo mmja.chonde chonde...
Habari wana jfcc! weekend iko bien! karibuni sana niko pande za dom makao makuu ya chama na siri kali! Hehehe! Naianza taratiiib hapa master pub badae chakonichako kisha ntajirusha klub 84! Peace...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.