JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mlevi mmoja aliingia kwenye matatu nakukaa siti ya mbele, akaweka begilake kwenye siti kulia kwake kishaakalala.Baada ya muda akaingia mlevimwingine akatoa lile begi, akaketiyeye...naye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila mtanzania anafatilia siasa ya kenya na unakuta anamjua kila mgombea wa kenya, swali ni je? wakenya nao huwa wanafatilia siasa zetu na kuwajua viongoz wetu???
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nipo some where, napumzika kidogo baada ya mihangaiko ya siku, napata soda ila kaja mdada ni mhudumu hapa ama kweli uzuri wa mtu upo machoni pa mtu jamani huyu dada kaumbika, kaumbika she is sex...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ina kila kitu kinacho hitajika kwa matumizi ya binaadamu,choo ndani kwa ndani.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
wana JF mnawasaidiaje wa2 hawa: wakwanza ana; CIV _ F, KISW_F, HIST_F, GEOG_D, ENG_D, BIOS_D, PHYS_D, CHEM_D, MATS_C. Wapili ana; KISW_F, CIV_F, GEOG_F, BIOS_D, CHEM_D, PHYS_D...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
UROHO M-BAYA...Mwizi alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka,akaonja kimoja akaona ni kitamu kina chumvi chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Question to Men around Here,unapata Chili ana dem tajiri lakini Hataki kumuomba Msaada anapokua na tatizo hivyo huyo mwanaume anakupenda kweli Au Ndio kusema anaogopa kujishushia hadhi Hebu nisaidieni
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza nimeota nipo US nasoma. Nikapata mtoto mkaliiii black american. Ile naanza kuota kuanzisha biashara, usingizi unakatika. Muda wa job umefika. Ndoto hii ina maana gan?
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Mwanafunzi wa darasa la pili alimuuliza mwalimu wake: hivi ukichanganya OMO na FOMA zitatoa POVU?. Mwalimu akajibu kwa hasira: swali gani hilo la KIPUUZI? Lazima zitatoa POVU kwa sababu zote ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani hapa ninapoandika ujumbe huu niko njiani nikielekea airport kupanda fastjet. Naomba mliowahi fly na hili pipa niambieni nitarajie nini. Angalizo : Sio mara yangu ya kwanza kukwea pipa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
katika daladala kitoto cha nursery kikawa kinaimba..: "Baba angekuwa jogoo,na Mama kuku,mm ningekuwa Kifaranga"... Abiria wote kimya..! Kikaendelea tena kuimba..:"Baba angekuwa Beberu, na Mama...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nikiwa nataza ITV Taharifa ya habari ya 6:00pm mwisho wakaanza tangaza watu waliopotea. Wakwanza mpaka wa mwisho wote ni mabinti tu kati ya umri wa miaka 17-24 na mmoja akionesha kuwa kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nazungumzia huku ambako huwa tunasuswa na viongozi wetu hapa nyumba mdele bar nyma ya nyumba kuna mateja wanafanya yao kushoto taro la maji machafu limepta kulia ukpga mswaki mate uwanja wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
ujinga ni kumuulza mlinz "et umeamkaje"........?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Mwizi alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka,akaonja kimoja akaona ni kitamu kina chumvi chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote alipomaliza akaangalia...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
wana JF mnawasaidiaje wa2 hawa: wakwanza ana; CIV _ F, KISW_F, HIST_F, GEOG_D, ENG_D, BIOS_D, PHYS_D, CHEM_D, MATS_C. Wapili ana; KISW_F, CIV_F, GEOG_F, BIOS_D, CHEM_D, PHYS_D...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Hii menu nimeikuta kwenye mgahawa nilioenda kula leo MENU 1. Piza ya utumbo wa kuku 2. Baga ya miguu ya kuku 3. Piza ya mapupu 4. Pasta ya makongolo. Hii ndio spesho menu ya mchana huu
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Binafsi naipenda sana JF,maana nimeichukulia kama sehemu yangu ya kupunguzia stress. Ila kuna baadhi ya I'D ambazo nahisi wahusika wake wanalandana na I'd zao kitabia. Binafsi kuna members ambao...
7 Reactions
236 Replies
11K Views
This wariah (Somali) man walks into a gun shop and asks to buy a gun. The gun shop owner asks, "What for?" He says, "To shoot some cans." So he walks away with the gun with some few ammunition...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Little Johnny : “I’m gonna tell you a story with 4 parts. Remember that, 4parts!” KR : “Alright..” Little Johnny : “Okay, I’m gonna start with part 1. There was a husband and a wife, they were...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom