Kuna dogo mmoja alikuwa ametoka kwa bibi yake dar anarudi kwao mbeya. Walipofika mto ruvu akamuuliza konda tumefika mikubi konda akasema bado. Walipofika chalinze akauliza tena tumefika mikumi...
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo...
Yaani sijui SIMBA wameikosea nini
CAF.......yaani dah.....kumbe
akifanikiwa kuitoa LIBOLO huko
Angola.... hatua inayofuata
anakutana na timu inayoitwa
FERVIALO CHIPUMBU ya
MSUMBIJI...
NAFASI YA KAZI .........
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 600,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa tatu asubuhihadi saa tisa jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa...
Muhaya is attacked by a robberin his silver prado..
Robber shouts, "Toa Pochi!!"
Muganyizi shouts back, "We ----, huwezi nipigia kelele nikiwa kwenye prado na nimevaa rolex na cheni ya gold...
Nilipokua mdogo nilikua naskia misemo iliyokua ikitumiwa na wahenga katika jamii na pia ilikua na maana zake..mfanomkono wa kulia ukiwasha......utatoa kitu/hela,Mkono wa kushoto...
Jamani nilikuwa nawaza hivi kama kuna antivirus basi pia kuna uwezekano akawepo ankovirus, fadhavirusi, madhavirusi................ nisaidieni kuwakumbuka wengine.
Wadauwenza!
Nauliza hivi hili neno "KAMA NINI" Lina maana gani ?
Utasikia ;
> Tamu kama nini! > Chungu kama nini !
> Kali kama nini !
> Mkarimu kama nini !
> Jeuri kama nini !
> M'bishi...
Jamaa mmoja alienda kufanya kazi kama house boy. Kwa mara ya kwanza alikutana na mama mwenye nyuma akamuuliza jina lake akamwambia naitwa mume wangu, alipokutana na binti wa mama mwenye nyumba...
ikiwa wiki inaelekea ukingoni nnaomba kwa heshima na taadhima nitambue maneno yaliyoshika kasi wiki hii, ni LIBOLO na ZOMBIE, akaaa mie sitaki stress weka na wewe ya kwako.....
Mlevi mmoja alitangaza baa kuwa ana wasiwasi kua yeye ni mungu.
Akaulizwa kwanini???
Mlevi: sababu nikifika mtaani kwangu nasikia watu wanasema
"mungu wangu amelewa tena...!!"
Nikifika...
Hivi ndivyo mwanafunz wa form four 2012 alivyojibu kwenye pepa ya Kiswahili!
Swali:Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Mwanafunz akiwa hajui maana ya MDAHALO alijibu hivi...
1.Unauchukua mdahalo wako...
Kuna Babu mmoja Kijijini kwetu kila mwaka analeta fuja na hashtakiwi
Anawadanganya wototo wa kiume wampelekee maji porini
Wakishafika anawakamata na kuwapiga kasha anawakatakata kwa kisu hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.