Muarabu mmoja anaeitwa FARAJA alikuwa mbabe sana katika mtaa aliokuwa akiishi.Watu wote pale mtaani walikuwa wanamuogopa.Yaani hakawii kutoa kichapo kwa yeyote yule atakaye gombana naye.Siku moja...
Two women meet in the afterlife. Following is the
conversation they had.
1st woman: Hi! My name is Wanda. 2nd woman: Hi! I'm Sylvia. How'd you die? 1st woman: I froze to death. 2nd woman: How...
Mume: Mimi ninakushangaa sana mke
wangu; kila mara unasema ooooh gari yangu,
mara watoto wangu, mara chumbani kwangu
n.k. "Nimeshakwambia wewe na mimi ni mke
na mume; kwa hiyo unatakiwa kusema...
Mke alimpa mmewe radio aende nayo
chooni ili asiboreke.
ALIPOTOKA
Mke; vipi ume enjoy?
Mume: Wajinga sana! Waliweka wimbo
wa taifa,nimekunya huku nimesimama :
Mbwa koko wawili walikuwa wanasaka
chakula kwenye jalala, mara ikapita Land Rover
ya FFU na ndani yake kuna mbwa wa polisi;
Mbwa koko mmoja akaangalia kwa uchungu
kisha akamwambia mwenzie, '...
Wadau wa Archuga heshma yenu,
Niko njian nakuja Arusha ntakuwa huko kwa mda kidogo kwa wale watakaopata nafasi si vibaya tukafahamiana na kubadilishana mawili matatu
Arusha si mgeni ila nikipata...
Babaake na suma lee mzee lee amekuja Tanzania leo jioni kutoka china. Mzee lee anawatoto wengine maarufu kama Jeti Lee, Bab Lee, ona umeanza ubishi wako
Hebu fikiria umeamka asubuhi, kisha hakuna hata maji ya kuoga unaamua kwenda kuchota maji ya kisima karibu na home ili uoge fasta fasta uwahi kazini. Unafika kisimani unakuta kumbe mtoto...
Mramba:
Mimi ndo kiboko ya watanzania, yani nilinunua ndege mbovu na rada mbovu kwa bei za juu na waliponiuliza nikawaambia kuleni nyasi.
Ngereja:
Aaa wewe Mramba kweli kichekesho, yani watu...
Mchaga mmoja alienda baa na marafiki zake kunywa pombe.
Baada ya kumaliza starehe zao bili ikaletwa ikionyesha kila mmoja kanywa kama ifuatavyo:
Manka sh35,000
Marieta...
Wanaume wakiwa kwenye semina wakaulizwa, mara ya mwisho kumwambia mke kuwa wampenda ni lini? wengine wakasema leo asb, wengine muda sio mrefu.
Mwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi...
Uchunguzi wa haraka haraka umeonyesha kabila la Wanyakyusa sio tu lina majina yenye mwanzo wa Mwa..., Mwa.. .
Imethibitika pia kuwa kwao kila jina linaloanzia na herufi 'A' linaishia na herufi...
Kama tulivyokubaliana wadau basi ndo tumefika eneo la tukio na wadau waliokwishafika ni Remmy Mtambuzi Asprin Madame B
updates:
Mkuu Vin Diesel naye yumo ndani...
Umeamka zako asubuh ukaenda choon sasa wakat unaingia choon ukakutana na mpangaji mwenzio anatoka choon sasa na wew ulipoingia unakuta mshikaj amekata gogo ameshusha mzigo si wakitot na kuchafua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.