JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jua limechomoza na miale yake ya rangi ya dhahabu imetawanyika katika uso wa dunia ikirutubisha mimea,wanyama,binaadamu na vilivyomo.pia rangi nzuri ya kijani iliyotapakaa kila pembe ya tanzania...
2 Reactions
54 Replies
3K Views
Wakuu kuna misemo mingi ya kufurahisha sana hasa ktk mitandao ya kijamii, mfano Kula bata mpaka kuku aone wivu. Weka misemo uliyowahi kuisikia na ukapata kuifurahia
1 Reactions
57 Replies
11K Views
How do u score on this, gentleman? One Day, Apostle Dr Pastor was with his men's congregation in his church and he asked them: Major Apostle: Can those with wives rise up their hands...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
...My nimepita pita humu humu ndani na kusikia sikia maneno maneno je ni ya kweli....Maana sipendi kuwapa watu gharama ya kukarabati viungo vya miili yao...hakuna...
2 Reactions
107 Replies
5K Views
Inasemekana askari polisi wana mpango wa kuwatumia nguruwe badala ya mbwa kuzuia maandamano ya ............
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KWELI wanawake wana GHALAMA? kila kiungo chao kinaitaji FEDHA!!! nywele zinataka dawa! MASKIO yanataka HELENI! MACHO yanataka WANJA na SHADOW PUA inataka KIPINI, MDOMO unataka LIPSTIC, USO unataka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kinamama wa3 (MCHAGA, MGOGO na MHAYA) Walijifungua Watoto, Bahati mbaya Docta akawachanganya, Ikawa vigumu kuwatambua, ikabid watafute MBINU ya kuwatambua kwa nature zao, Docta akarusha SARAFU ya...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Nami nimejikomboa.sasa jf nitakuwa online 24 hrs kama vp ni add whatsapp. Namba yangu ile ile. Wale wa f'b ongezeni spidi ku LiKe page yangu kazi ndo imeanza.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Dogo mmoja alikua anacheza na madogo wenzie jirani na kanisa. Mara baada ya michezo yao ya kitoto kuisha akaanza kutafuta ndala zake ambazo alikua hakumbuki kaziweka wapi? Punde kidogo akatokea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, wana cc wote na wanajf kwa ujumla! nawataarifu kuwa mwenzetu mmoja kwa jina MMAHE ni mgonjwa, anasumbuliwa na malaria.. Dua zenu ni muhimu sana ili afya yake iimarike. Pole sana. Cc...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Mgeni amekuja hapa jijini kwetu mnamkacha hii tabia yenu ya ubaguzi itoweke mara moja
2 Reactions
113 Replies
5K Views
Kule iringa kuna mifugo kama hawa wanaitwa simbilisi na kule singida wanaita mpoko,na usukumani wanaita ngoso, tuonane fasta bidhaa nichache.
1 Reactions
60 Replies
5K Views
Hata uwe na heshima vipi!Huwezi kumpokea Askari Bunduki!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
age appears to be best in some things. Old wood best to burn. Old books best to read. Old rice best to eat and old friends best to keep
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Bujibuji was baptized and dipped in water 3 times. At the 3rd time the Pastor Sikonge said: "You are now baptized, you are a new creation. The old one is gone, no more drinking of alcohol for you...
11 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi ndivyo mwanafunzi wa form 4 2012 alivyojibu kwenye pepa ya Kiswahili! Swali:Eleza hatua za kuandaa MDAHALO. Mwanafunz akiwa hajui maana ya MDAHALO alijibu hivi. 1.Unauchukua mdahalo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana cc natafuta partner wa kuwa nae humu ambae yupo free mi npo dsm
2 Reactions
91 Replies
5K Views
Mshikaji baada ya kupigwa sana kalenda na mrembo. Siku alipokutana na mrembo tena kwa sauti ya kubwmbeleza akaomba atiliwe japo mkojo kwenye kifuu Mrembo akamwambia, kama ni fantasy yako poa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
john is a lawyers son.john's farther is a banker. who is a lawyer?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom