JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mzee mmoja alipanda kwenye daladala lilikuwa limejaa, hivyo akalazimika kusima. Wakati safari ikiendelea, akagundua kuwa amechomolewa fedha zake. Hali ilikuwa hivi: MZEE: Jamani alienichukulia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
(Joni) dogo wa darasa la kwanza kafika shule akaanza kulalamika kwa mwalimu wake wa darasa kwamba la kwanza si saizi yake na anataka arushwe hadi darasa la tatu kwa maana anaamini ana akili...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
JOB VACANCY.. Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa? 1.Mshahara Tsh 600,000/ = kwa mwezi. 2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi hadi saa 4 jioni. 3.Allowance 300,000/= kwa mwezi. 4.Siku...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Basi kuna jamaa mmoja alitaka kujiua.kisa kila alipokuwa akifanya kazi kidogo tu anafukuzwa.rafiki take akamshauri aende jeshini,jamaa akasema nitaweza kweli .rafiki akasisitiza aende,basi jamaa...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Africa nalipenda bara langu, hakuna matusi. Kwako tusi kwa mwenzako ni jina la shule.Je ingekuwa hapa TZ Ungempeleka mwanao kusoma hiyo shule.?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miaka kadhaa iliyo pita,Mungu mwenyezi alinipa neema ya kuzaliwa hapa duniani. Nachukua fursa hii: 1/Kumshukuru sana Mungu aliye nilinda na kunipigania kwa miaka hii yote. 2/Kuwashukuru...
9 Reactions
65 Replies
5K Views
wajameni mpo??
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Swali: Eleza hatua za kuandaa MDAHALO. Mwanafunz akiwa hajui maana ya MDAHALO alijibu hivi...... 1.Unauchukua mdahalo wako unauosha vizuri 2.Hakikisha Mdahalo wako haujakomaa 3.Bandika...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni ujinga kuwaka lamination kwenye atm card. Ni ujinga kusema unakwenda kula bata wakati unampango wa kula kuku na bia. Ni ujinga endeleaa....:der:
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Hodi hodi wana mjamvimi maomba kujiunga nanyi...please
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaaa baada ya shughuli za kutwa kaingia mahala akiwa na mpenzi wake wapete mbili tatu. Jamaa kamwita mhudumu na kwa kuwa hakuwa akijisikia kunywa akaamua atacheza pool tu.Mambo yakawa hivi...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Nahisi hii tuliyonunua ni ya mchina maana naona kama vile inaongopa.... Sidhani kama inasema kweli hii kitu..
7 Reactions
74 Replies
6K Views
Wana wa Bodi na wadauwenza. Mara kadhaa nasikia matangazo through media zetu , kama headin yangu inavyosoma. Kattu na kamwe sijasikiaga "wanaume bure wanawake Tsh kadhaa!" Sitaki kabisa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Mtoto katoka shule huku akilia, alipofika nyumbani, baba yake alishangazwa na hali hiyo na mazungumzo yanayalikuwa hivi: BABA: Kwa nini unalia? MTOTO: Mwalimu amenipiga, na nimeambiwa twende wote...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
God picked up a flower and dippedit in a DEW, lovingly touched it which turned in to u, and he gifted to me he sAid ,THIS FRIEND IS FOR YOU
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Let me ask you guys a weird question. What percentage of Nigerian girls between 18 and 21 do you think are virgins? 1. Less than 5% 2. Less 20% 3. Less than 50% 4. Other What do you guys think...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
0 Reactions
3 Replies
923 Views
Kuishi kwa wasiwasi au kuishi kwa matumaini?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bado tupo kwenye msiba wa ndugu zetu form four hivyo tuungane wote kwa kusema 'NECTA IMETOA NECTA IMETWAA; FORM FIVE WALIIPENDA LAKINI KITAA KUMEWAPENDA ZAIDI, JINA LA NECTA LIHIMIDIWE AMINA.T
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo yangu hayaende kabisaaaaaa!rigwaride tena basi!! Nshachoka kugombea daladala!!sasa nahitaji nami nipate japo kamkoko kangu,nyumba nzuri beach,mke mrembo,acc yangu itune,nikitembea basi niwe...
0 Reactions
31 Replies
182K Views
Back
Top Bottom