An alcoholic, a smoker and a gay went to a doctor. The doctor told them that if they do again what they think are addicted to, they will die.
As soon as the alcoholic went...
hebu fanya kauchunguzi ni kwa nini wapenzi wanapokua ndio wanataka kufanya tendo la ndoa husaidiana kutoa nguo kwa pamoja tena kw romance kali lakini baada tu ya tendo la ndoa kila mtu anavaa nguo...
There are three engineers in a car; an electrical engineer, a
chemical engineer and a Microsoft engineer. Suddenly the car just
stops by the side of the road, and the three engineers look at...
Wakuu wa jf hamjambo??wakubwa zangu shikamoo!kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mwaka huu nategemea kumaliza ka degree kangu kakwanza ila kutokana na hali mbaya ya ajira ilivyo hapa nchini...
Akiwa darasan mwalimu alimualiza mwanafunz wake mmoja swal.
Mwalimu: Ikiwa mlinzi wa Rais anaitwa Bodyguard je mlinzi wa Waziri mkuu anaitwa nan?
Mwanafunzi: Waterguard.
Muwazima wanamod wenzangu humu ndani? Mnaendeleaje
Ni siku ingine ya Blue Monday iliyojaa uchovu kwa wote waliokuwa katika pilikapilika za weekend,
na mihangaiko ya utafutaji wa shiilingi ktk...
Samahanini sana, nimepita huku si kwa ajili ya uchafuzi wa hali ya hewa bali nimepita kwa nia njema... acha niludi siasani kwasababu ndipo nilipo anzia na ndipo naenda kuishia. Samahanini Sana Jf...
Wakuu salam.
Niliwahi kuja humu mara kwa mara kujibu hoja za watu kuhusu swala la Ruhazwe JR na zawadi za miss chitchat 2012 na nikaahidi kuleta mrejesho hapa mara baada ya kurudi na kuwasiliana...
Jamaa mmoja alishukiwa na Malaika toka Mbinguni akaambiwa omba chochote unachotaka lakini jirani yako yeye atapata mara mbili. Kwa mfano ukitaka PRADO jirani yako atapata PRADO mbili nawe utapata...
Kama kawaida ya wana Dar Wing nimeona nitoe wazo hili je manaonaje baada ya shamlashamla za za Pasaka tukakutanyika na kupanga mikakati kama Madame B alivyozungumza kwenye thread hii...
Dogo mmoja alikuwa
anapIga story na BABA
yake mara demu wake
akatokeA!...dah! BABA
mwenyewe mtata
... sana...dogo akaamua
kutumia akili ya
kuzaliwa ...maongez na
dem wake yakawa ivi...
Jibaba fulani lilikuwa na tabia ya kuzima taa wakati anapoingia kwenye tendo la ndoa. Hali hii iliendelea muda mrefu kama miaka 15 hivi. Siku isiyo na jina mkewe akachachamaa na kutaka taa...
Watu wa R Chuga mtanunaje....
Hapa tuko mimi, marejesho, Paloma, Lusile, Vivianna, cacico, Na Mzee wa Ku-Party Mtambuzi, warembo tuna glass za Champagne na maua mekundu, Kwa raha zetu....
Mzee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.