JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamani hivi Amkatrina,Mbwiga88,Arushaone,Ismail N. juma wako wapi jamani nimewamic kwa kweli
1 Reactions
10 Replies
1K Views
jaman hiyo white party inaonekana itabamba si mchezo mpaka nataman kulipia mlangon
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimemisi white party bhana, . .ni hizi safari zangu zinanibania, nikiwa ruangwa, lindi sa hivi najitahidi kuchochea moto wa gesi kwa mabua.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello everyone I am Roseana from Australia. I am internet marketer and entrepreneur. I am the admin of Total Victory Team Africa. Feel free to drop by and visit my group...
0 Reactions
10 Replies
913 Views
Baba anamuuliza mwanae hee! Alfajiri yote hii mbn unawahi shuleni? MTOTO: mwalimu wa bagia leo anakuja asubuhi nikichelewa nitakuta zimeisha. BABA: pumbavu sio kuwahi masomo bali bagia? MTOTO...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwizi Alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka, akaonja kimoja akasikia ni kitamu kina Chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote, alipomaliza...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mataila wawili wa mirembe walipanga kutoroka kambini ,walipanga wakifika getini wamuue mlinzi sasa walipofika pale wakakuta mlinzi hayupo wakasema kwa huzuni loooh! Mlinzi hayupo safari yetu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamaa wawili walikutana kwenye kituo cha basi wakafanya mazungumzo. Mmoja aling'ang'nia kuzungumzia kero za familia yake hatimaye mwenzake akasema " Unadhani familia yako ina matatizo?" Basi...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,Daktari : Hebu vua nguo tuone,Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.Daktari ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeota kuna jamaa mmoja amefariki tunaaga maiti yake. Ghafla maiti ikasimama. Watu tulistuka. Akachukua fimbo bwana akaanza kucharaza watu viboko. Sasa najaribu kuwaza maiti ya kiislamu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mzungu ni genius jamani, wala msibishe, unachukua mamilioni Afrika wewe mwenyewe unaenda yaweka kwa Mzungu, kisha Mzungu anayachukua anakuja kukukopesha kwa riba kubwa hadi deni la Taifa linafikia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asante mod kwa kututatulia tatizo lililotokea kwa mke wangu kipenzi Marry Hunbig. Nina mashtaka kwa mwenyekiti wa mausiano na ndoa hapa chit chat. Baba V umeanzisha thread ukiuliza yaliyomkuta...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wana JF mambo vipi?jamani me mgeni humu!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kutokana na watu kuchelewa sasa hivi ndo tumeanza mambo yetu. wapo watu kibao na white code kama kawa. mia
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wajameni nipo ndani ya jiji lenu la maraha tayari!kwa kweli na burudika vyakutosha!nitakuwa pande za mlimani city jioni!karibuni warembo!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana JF Popote Pale Mlipo, Nawasalimu. Ama Baada ya Salamu Nina Machache ya kuwakumbusha kuhusu WHITE PARTY, Kumbukeni Party Yetu ni Tarehe 26 January, Lakini mpaka Muda huu Idadi ya...
8 Reactions
111 Replies
9K Views
  • Closed
Wadau muda si mrefu kuna Thread inayokwenda kwa heading ya 'Maskini mjomba Chimbuvu' imefungwa ghafla bila sababu ya msingi, na kinachotia hofu zaidi ni kufungwa ambako kumekuja baada ya...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Police Officer A police officer was patrolling the highway when he sees a guy tied up to a tree, crying. The officer stops and approaches the guy. "What's going on here?", he asks. The guy...
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Aise na nimeingia mji wa watu karibu wiki aise Nakula vumbi tuu hapa Kasulu Najua kuna wadau wa Jf wako huku Tukaribishane basi mji wenu huu
0 Reactions
15 Replies
1K Views
  • Closed
Tukiwa kwenye maandalizi ya harusi yangu na ma switie stevoh,nimepokea kwa mshtuko BAN ya mjomba Chimbuvu!!! Sijui harusi itakuwaje thatha,daah!! COPY TO Madame B Mamndenyi Vin Diesel Donn...
0 Reactions
92 Replies
4K Views
Back
Top Bottom