Kwa niaba ya wana Chitchat wote nawaomba Moderators wote watusafishie jukwaa letu pendwa kwani limevamiwa na Mamluki....
Hapo awali kabla ya mamluki hao tulienjoy sana jukwaa hili bila BAN...
kuanzia leo jioni hadi jumapili.ni full ku-:sleepy: yaani ile sana+:spit:halafu :violin: na ku :bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:..Maulidi njema na wikendi njema kwa woote..
Nimekuta mchango humu JF ikiwajadili Wakurya, Wanyiha na Wazaramo kuhusu kuona wake wengi; naomba Modi mniruhusu kuufufua kwa njia ingine na kwa malengo mengine kama ifuatavyo. Mababu zetu...
An man drinks at the pub until they close.
He stands up to leave and falls flat on his face. He tries to stand one more time and falls again. He figures hell crawl outside and get some fresh air...
Ndugu wana JF wenzangu; nipo hapa morogoro kikazi na nilibeba vimoderm vyangu viwili; sasa kale ninakokategemea sana kuperuzi huku JF kamenigomea siku ya pili sasa- ka eateli 3.75G . Nimewasiliana...
kwa:
Erickb52 .
my brother , nategemea ujio wako katika kuweka mambo safi, hasa ki uchumi hali imekua mbaya miradi uliyo waachia wasimamizi wako wanahonga ovyo ovyo huku hasa huyu...
Jamaa alikuwa kwenye Hummer na mpenzi wake, ambaye wakati huo alikuwa akilamba ice-cream huku kiyoyozi kinampuliza, gari liko kwenye silence;
MJAMAA: Bebi kuna kitu nataka kukwambia lakini najua...
Tuliishi kwa amani na kutaniana na kupeana madongo ya kila aina.
Hakuna aliyevuka mipaka wala hakuna aliyeenda mbali zaidi ya utani wa kawaida.
Jukwaaa lilikuwa ni stress free sehem ambapo...
Habari wana chitchat.
Nimekuwa mfutiliaji sana na mshiriki wa JF hasa jukwaa la siasa na mara chache nimekuwa nikiingia hapa .
So kupitia hapa namtafuta mwanachitchat mdada wa kuniliwaza japo...
Fanya utafiti kwanza kwa kuanza na wewe mwenyewe.(kama ni wewe ni mwanaume) au mwenzi wako(kama wewe ni mwanamke).
Jiangalie dole gumba la mguu wako ni directly related na ukubwa wa uume wako...
Sikuamini nilipokuoneni jana dinner Sea Cliff Arabela sharifaa amu Paloma marejesho Maeskron na Lily Flower nawashukuruni sana kwa kuitikia invitation yangu ya dinner pamoja...
Nakumbuka mwaka jana katika msiba wa Marehemu Regia Mtema nikiwa na member wangu wachache toka katika group ninalo administrate facebook tuliwasili pale. Lakini hatukuwa tumejipanga sana kutokana...
Kwa JF members wote....
Nimefurahi sana kwa JF members wote tuliowasiliana kwa njia ya simu, email, na kwa mtandaoni humu JF. Nilifurahi sana kwa wale waliotupigia simu na kututakia maisha mema...
Jamaa aliamua kutoka 'OUT' na dem wake,
kufika hotelini mhudumu akamuuliza jamaa "mngependa niwaletee chakula gani?" jamaa akajibu "usijal me niletee MENU" then mhudumu akamuulza yule dem, "je na...
Tayari nimetoa ng'ombe za mahali kwao na binti Evelyn Salt ndoa ilipangwa jumamosi ilee iliyopita, mshenga pamoja na kamati nzima walinihakikishia kuwa ndoa itafungwa saa tisa jioni pia...
nilikua nawasalimu wandgu humu ndani,,,coz nilijiounga humu ndani tangu june mwaka jana...but sikua active n pass word yangu nilikua nimesahau...but nw am available....thanx all wana member plus admin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.