JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ndugu zanguni samahani lakini nataka kujua mungu ni she au he?
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Kwenye lile tangazo la easynet la baba,mtoto na bembea sijui kwanini huyu jamaa namfananisha na baba v akiwa busy na chit-chat:der:By the way what does V stand for?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
iwe ni wa tanzania au wa nje ya tanzania
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wapendwa wa CC wanzangu kuna kitu kinanitatiza naomba maelekezo yenu tofauti ya MAPENZI na MAHABA ni nini?
2 Reactions
26 Replies
2K Views
SHULE YA MSINGI JANJAJANJA... Ticha: Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa? Dent 1: Sio mimi! Dent 2: Walla sihusiki.! Dent 3:Kwanza mimi jana sikuja shule.! Ticha alipoona kuwa wanafunzi wote ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kengele za hatari zililia kichwani wakati nashusha mguu kutoka godoroni. Nilipaswa kudamkia ibadani lakini guts zikanileta online, ndo nakutana na zahama la kuzushiwa kuaga dunia (ingawa poster...
17 Reactions
162 Replies
12K Views
:lalala: Hivi ingekuwaje kama BAO la kutombana lingekuwa linatoa mlio kama wa Bunduki? PAAAA! Nafikiri tungekuwa VIZIWI Dunia nzima. Kwa sababu usiku kelele za mabao zingekuwa mingi hata kulala...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
SIJUI KAMA SIKU HIZI ZIPO HIZI 1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa j2 tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' 5. Kupamba kadi sebuleni 6. Ukumbi wa...
0 Reactions
5 Replies
979 Views
Usisubiri kusifiwa jisifie Mwenyewe...Husika na kichwa ya habari hapo juu.. Mi ntakuwa wa Mwisho...ila kwa kuanzia..mi ni mbabe,hapa ngumi zimelala....uwezo wangu binafsi wa kumfurahisha na...
2 Reactions
576 Replies
23K Views
Katika mchakato unaondelea sasa hivi nchi nzima juu ya uundwaji wa katika mpya kwa wananchi kutakiwa kutoa maoni yao jinsi gani wanataka katiba hiyo iwe.Kuwa mzee mmoja katika kutoa maoni yake...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Wadau, asubuhi ya Jumapili mida ya saa3 asubuhi nimepokea sms kutoka namba +2347031639276. Sms yenyewe hii hapa chini; CONGRATULATIONS, Your phone number has won you $450,000 in the FIFA XMASS...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
It was 20 years ago today that the first text message was sent. It was Dec. 3, 1992, and Neil Papworth, an engineer working in the UK, sent the world's first short message service or SMS. It...
0 Reactions
3 Replies
877 Views
1 . Mwl. Julius Nyerere daily alitembea na kifimbo mkononi!. 2 . Jomo Kenyatta daily alitembea na usinga mkononi !. 3 . Keneath Kaunda daily alitembea na Kitambaa cheupe mkononi !. 4 . Arap Moi...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Goodmorning Chit-chatters, niko safarini kuja Dsm natokea huku porini nilikokua bhana, huku kusini, will be in dar 4 a week or two, Have a nice Sunday, love you all undoubtedly!. . .
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Wapendwa habari zenu,nilikuwa nafuatilia hili jukwaa kama guest kwa muda mrefu,nimeamua kuingia rasmi humu,kama kuna nyumba ndogo za my husband naomba tujuane kabisaa kiroho safi
8 Reactions
138 Replies
7K Views
Baazi ya viongozi feki husababisha maisha kurudi chini baada ya kwenda juu pia huwa wanajali maslahi yao tu tena husahau kama yupo kwa ajili wa wananchi yeye huona yupo kwa ajili ya maisha yake na...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
KIFO:alimtembelea jamaa mmoja mambo yalikua hiv KIFO:rafik leo ni zam yako twende JAMAA: ha! sijawa tayar KIFO: angalia kwenye list yangu jina lako lipo juu kabisa JAMAA: kweli lakin tupate...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
senkyu viri mucheee AU SENKIU VERI MACHI?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
P-funk,majani,kinywele kimoja,mzee wa nazi nimependa jamaa anavyofunga hasa mambo ya malavidavi?..
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu...nawasalimu sana! Naomba tukumbushane tulikotoka na mtandao wetu pendwa wa Jamii forums.Katika kumbukumbu zangu,uzi wa kwanza kuusoma baada ya kujiunga JF...
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Back
Top Bottom