Kuna Daktari mmoja wa wagonjwa wa kichaa huko milembe alikuwa anawatest wagonjwa wake kama wamepata nafuu.
Daktari akawaambia waannze kulia kama kama kuku. Wagonjwa wakaanza kulia wengine kama...
Akina dada, akina mama, akina Bibi na wengineo wote wenye jinsia -Ke- Hii ni dedication yangu kwenu na fursa ya Kum-Kiss na Kum-Chum yeyote umpendaye..
Akina baba, akina kaka, Machalii na...
Wapenzi wanaJF nawasalimuni kwa mpigo Mamboooooooo! Nimewamiss sana baada ya kuhukumiwa na majaji wa JF kifungo cha miezi 3 kwa kosa la kumkashifu mzee wa Gombe. Nawaonya na ninyi msije mkafanya...
unapendelea style gani?
Mamndenyi nakumbuka alikuwa anapendelea 'mbuzi kagoma' Chimbuvu kasema Madame B humwambii kitu kwa style ya 'mbwa anakojoa keep left' Erickb52 yeye anadai kwake 'kariakoo...
chonde chonde wanachichat nina mwezi sijakuta meseji kwenye inbox yangu,nimewakosea nini?ntupie basi PM hata kama unantukana ili mradi nijisikie huru!(zaidi kinamama pliz mibaba ishieni huko na...
Habar zenu wakubwa.
Shikamooni na pia saizi yangu mambo zenu na wadogo hamjambo.'??
Ni siku sio nyingi nilitoa uzi unaotoa salamu zangu za sikukuu hizi zinazofuata.
Niliahidi...
Just imagime umepewa nafac ya kpekee kumchagua m2 m1 unaempenda aish milele...JE ungemchagua nan kat ya hawa?
1.mama
2.baba
3.mpenz
4.mtoto
5.mtaje mwenyew
Kichwa cha habari Chahusika.
UTANGULIZI
Takribani wiki mbili zilizopita nilileta kwenu taarifa ya kutengua uhusiano batili kati cha Chimbuvu na mke wa mtu Madame B. Kathka taarifa ile...
Baada ya kuchoka sana na kazi, kesho jumapili(02.12.2012) nataka nitoke na dada moja hapa JF Chit Chat nikatembee Beach. Nitafurahi sana kama atajitokeza kwa kuni PM ili tuwasiliane.
Kichwa cha Habari Chahusika.
Jamani Member wenzangu wa ChitChat mnaonaje tukawekeana Mikakati Ya Kuanzisha Party Maalum kila Mkoa kwa Ajili ya Wana ChitChat pekee..???.
Si lazima Tusaze,Kukutana...
Juzi police kawakamata jamaa wawili akaanza kuwauliza maswali kila mmoja,
Mazungumzo yao yalikua hivi;
Police;unafanya kazi wapi?
Jamaa wa kwanza;sifanyi kazi popote...
Kuna mwana Chit-Chat mwenzetu aitwaye manoah naona leo kapagawa na jini maimuna!
Tangu asubuhi amekazana kufungua thread zisizo na mbele wala nyuma!!
Nadhani week end yake aliitumia vibaya...
the game goes like this, i make a sentence afu the next poster anatumia my last word kutengeneza sentensi ingine mfano; i need a plate of rice. then the next post might say rice is full of starch...
"DIAMOND ALINILOGA NAKUNIFANYA NIKOHOE DAMU NA NYWELE ZA BINADAMU".......TANZANITE
Tanzanite, msanii aliyeibuka na kusikika zaidi katika masikio ya fans wengi wa bongo fleva baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.