Siku mbili zilizopita kuna mjamaa hapa alifukuzwa kazi. Siku aliokuwa anondoka kwenda makwao akkutana na mjamaa mwingine tunaye fanya nae kazi, huyo jamaa alikuwa amempa kadi ya mchango wa harusi...
Wadau habari za usiku. Nimepokea sms hii kwenye simu yangu kupitia mtandao wa Airtel: "YOU HAVE WON 2 MILLION POUNDS IN THE FREE LOTTO UK MOBILE PROMO. FOR CLAIMS EMAIL US : freelt@wss-id.org...
Mwalimu wa Historia anawauliza wanafunzi wake
Mwalimu: Eeenhe! Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunzi wa kwanza; Aka sio mimi!
Mwanafunzi wa pili:Wallahi siyo mimi ati!
Mwnafunzi wa tatu: Sio...
Nimeangalia mpira wa Sunderland na Norwich umenifurahisha sana! Ila nimeboreka na Sunderland, jezi zao zimeandikwa INVEST IN AFRIKA! Ndio maana wamefungwa manina zao!
Miaka mitatu iliyopita kuna mwanamke mmoja mfanya biashara, alifikia nyumbani kwetu akitokea kwenye biashara zake, alikuwa akifikia kwetu mara kwa mara kwani aliwahi kusoma chuo cha tiba na...
Baada ya kunyang'anywa kipenzi changu cha moyo Madame B na mkongoman Chimbuvu na baada ya mipango ya kujaribu ku win back penzi maridhawa la Madame B kushindikana, natangaza rasmi kwamba hivi sasa...
Nchini Rwanda kumeanzishwa GAZETI kila unapoisoma habari na kuimaliza HUFUTIKA,.nia ni kukomesha VISHOKA wa kuazima magazeti nao wakanunue hasa wa kwenye vyombo vya usafiri maarufu hapa kwetu...
Unajua nakuthamini zaidi ya POSHO NA MSHAHARA bila wewe siwezi kuishi ni sawa nakukosa BUNDUKI eneo la tukio nitakuheshimu kama LINDO wewe ni IGP wa moyo wangu daima nitakuweka mbele kama CROWN...
nahitaji kujuzwa warembo masingo waliopo humu.baada ya mbio zangu kwa elizabeth dominic kugongo ukuta sasa nahtaji wakunituliza.lakini naogopa kuvamia wenye ndoa zao nisije pandikiziwa zinga la...
Of any one hundred boys who become Scouts, it must be confessed that thirty will drop out in their first year. Perhaps this may be regarded as a failure, but later in life, all of these will...
Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siriHizo kondom mnazojifariji nazo pia haziaminiki, Leo wewe ni mjanja wa kushawishi, kuchochea na kufanya uzinzi na uasherati,ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.