A couple wanted to have s3x but their 13 year old son: Jack, was still in the house...
They made a plan to keep Jack busy so that they could kick it on.
They told him to stand at the door and...
Nawasalimu wanaJF kwa upendo ..
Leo mida ya saa nne hivi asubuhi, tumepata mgeni wa kushtukiza ofisini (BUBU).. Mgeni huyu kwa njia anazojua yeye,alibahatika kumdanganya mlinzi(mzembe) na...
A young Jamaican father-to-be awakened the village doctor in the middle of the night saying:
"Doc!Doc!Come fast now! Is ma wife man! Her water is broken man! She is about born a child man!"...
Watu wenye akili kubwa na sawa hujadili maswala (isues),Wale wenye akili za wastani hujadili matukio(events) na wale wenye akili ndogo na dhaifu huwajadili watu.(they discus people)
Kuja kwa technologia kila mmoja kumemshika kivyake na kuna baadhi ya mambo watu hatuwezi kabisa kuacha au kwa mara ya kwanza yalituchanganya.
Mimi mara ya kwanza natumia choo cha kukaa tangu...
Ndugu wana chit chat wote, Nikiwa mwenyekiti wa tume ya kuratibu mahusiano na ndoa hapa chit chat napenda kutoa wito kwa wahusika kama ifuatavyo.
i.Hapo kesho jumatano ya 28/11/012 nahitaji...
Nakushukuru kwa kunileta tena kwenye jukwaa hili kwa mara nyingine,
Maana ni muda sasa umepita nilikuwa kwenye majukwaa mengine,
Tabu ni kwamba leo niko busy kuliko siku nyingine,
Pamoja na kuwa...
1. Catton 5 za mafuta ya AYU.
2. cATON 2 za sabuni za REVOLA, REXONA, GARDENIA na GIV.
3. Catton 1 ya mafuta ya TAN BOND
4. VIP pieces 12.
Kwa anayetaka moja ya bidhaa hizi ani Inbox Tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.