JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
kwa wale walevi ni muhimu kwenu kujua kuwa kuna bia yenye kilevi cha ukweli.waingereza wametengeneza bia yenye kilevi cha asilimia 65 na hivyo kuvunja rekodi ya dunia. Kazi kwenu wazee wa viroba!
1 Reactions
30 Replies
4K Views
A .. HARD-DISK Woman: She remembers everything you say and do,FOREVER.!!! B... WINDOWS Woman: Everyone knows that she can't do anything right, but you can't live without her. C... EXCEL...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza jana nimerudi kutoka Nairobi Kenya, nilikuwa sijawahi kusafiri nilikuwa napasikia tu kuzuri sana kuna maghorofa mengi sijui Shinyanga yetu itaifikia lini Nairobi, hata nikifa...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
{BINTI}:Mama,mi nina mimba. {MAMA}:Imekuwaje mwanangu mpaka unatuletea aibu kama hii kwenye familia yetu?. {BINTI}:Nisamehe mama,ni ajali tu bahati mbaya. {MAMA}:Kwa hiyo ulipata ajali tu,ulikuwa...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakati polisi wakiendeleza libeneke kwa walioandamana jijini hivi karibuni, sheikh mmoja aliposalimiwa asalaam aleikum kwa mshangao mkubwa alijibu kwa sauti 'milele amina' na kisha kuchapa mwendo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Five Rules For Men To Follow To a Happy Life: 1. It's important to have a woman, who helps at home, who cooks from time to time, cleans up and has a job. 2. It's important to have a woman, who...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1. The husband is always right 2. The husband is always the master of the family even if he doesn’t work 3. The wife must ask for permission from the husband before going in bed as well as before...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ingekuwaje kila unapomsaliti mpenzi wako jino linatoka kudadadadeki,teh teh teh teh saa hizi ungekuwa kibogoyo ndugu yangu.Mipengo&fizi nje nje!
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mambo wanachit chat wote....kama hapo juu panavyojieleza.. Domestic Fool Parties. Diosece of fool Paganism Dereva **** popote.. Ongeza za kwako...
0 Reactions
35 Replies
16K Views
Wajumbe hv ni nani aliyetangaza kama mi ndo niloleta rick rossy bongo yani mmenikera sana nilikuwa na mpango wa kuwaleta cash money wote ıla ctaweleta mmekera sana wengine rozyy aliondoka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nitamu sana pindi ukiipata, ila kuipata kwake ufanye kazi ya ziada kweli kweli 1. Kuipata ni shida maana ni tamu thanaaaaa 2. Unapaswa uwe na maneno matamu yenye ushawishi 3. Uwe mvumilivu na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtu kafa kwenye fumanizi, au kauliwa na wananchi wenye hasira kali alipokiwa akivunja nyumba, lakini atapambwa huyo, na hutousikia uovu wake. Why?????
0 Reactions
61 Replies
4K Views
Kwamba hatimaye nimeweza kuweka post yangu ya kwanza ndani ya chit-chat. Wewe post yako ya kwanza chit-chat uliiweka lini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndan ya mel watu wa makabila tofaut walikua na mizigo mel ililemewa ikabidi kila mtu apunguze mzigo.Mzungu aka2pa computer akasema kwe2 zipo tele,mchina akatupa simu akasema kwetu hizi zipo,mmasai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada wa mawazo, maelekezo, maoni na ushauri nitauzingatia, kwanisijawahi kupanda treni; tangu niletwe kwa msaada wa mola hapa Tanzania; Nina umri wa miaka 28 Tanzania tangu uhuru 51. Vyombo vya...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini? Dar sio mkoa? Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?! Hii...
3 Reactions
54 Replies
4K Views
Katika mtihani wa NECTA mwanafunzi alionekana kaachia kiti na meza na kuketi chini.Msimamizi wa mtihani akaenda na kumuuliza yule denti mbona hufanyi mtihani wako juu ya meza? Kwa mshangao dogo...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Simu inaita saa mbili asubuhi mwanawani, jamaa hajarudi home toka jana, waifu on ze line. Ringitoni, sumu ya teja ukonga keko segerea, ah sumu ya teja sumu ya teja. Jamaa anaamua kupokea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ingekuwaje kila unapomsaliti mpenzi wako jino linatoka kudadadadeki,teh teh teh teh saa hizi ungekuwa kibogoyo ndugu yangu.Mipengo&fizi nje nje!
1 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Mchagua jembe si mkulima 2. Mchagua gari si msafiri 3. Mchagua........... endeleaaaaaaaaaa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom