Wanajamvi ni dhahiri kuwa wiki hii tumeshuhudia mvurugano mkubwa sana hasa dar hii na kule zenji jambo ambalo limenifanya nitumie muda mwingi kule jukwaa la stress tukipeana za uso na wadau...
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba...
Jamaa alikuwa anaendesha punda, siku 1 alimuuliza rafiki yake, kwnn! gari zinaenda mbio sana? Akamjibu zinatumia Petrol siku ya pili akaenda sheli na punda wake,Alipofika akamnyanyua mkia,akasema...
jamani najua mumeamka salama.namuulizia ELIZABETH DOMINIC yuko wapi nimejaribu kumchungulia humu ndani simuoni siku nyingi haonekani.mwenye taarifa zake tafadhali
HII NI ZAIDI YA TUPO WANGAPI :-
Jamaa alikuwa ulaya akamtumia mama yake email:
"Mama nina UKIMWI"
Mama yake akajibu:
Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-
Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo...
Jamaa alipanda taxi akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kusikliza nyimbo za kidunia kwasabab wakati wa yesu hakukuwa na redio, dereva akazima halafu akasimamisha gari na kufungua mlango...
Habari za asubuhi wanajamvi,ninashida katika ofisi hizo za world vision hapa Dar es salaam lakini sifahamu zilipo na
nimesha google sana bila mafanikio ninaomba anaefahamu anifahamishe wapendwa...
Heshima kwenu wadau,
Hopin wengi hamumjui natalia, so nilikuwa mpweke sana kipindi alipopotea as mods walimpiga Ban baada ya kutupia mi threads ya kumwaga enzi za august.. Nikawa na mawazo sana...
Kesho tarehe 19/10/2012 ni siku ya kitchen party ya Madame B.
kama kawaida akina mama changamkeni leo kwaajili ya maandalizi ya shughuli hii sote tuwe kitu kimoja.
majukumu yanagawanywa kama...
Wahenga wanasema hakuna kama mama,na kila mmoja wetu anajua ni kiasi gani anampenda mama yake.ndio baba zetu tunawapenda lakini ndo hivo tena hakunaga kama MAMA...Sasa napita mahali watu...
Muhindi mmoja alisilimishwa na Sheikh akamwambia kila unapokula usisahau kupiga Bismillah la sivyo utakuwa unakula na shetani,basi yule muhindi kuna kipindi akajisahau kupiga Bismillah kwa miezi...
Kuna usemi kwamba siku ya mwisho tunaenda Mbinguni, hatutaishi hapa Duniani
MASWALI:
1. Je tutapishana na Yesu/Mungu? coz wanasema yesu akija......
2. Huko mbinguni kuna dunia nyingine? Kama ipo...
Habari wana Chit Chat, napenda kuwataarifu kwamba mwenzetu Judgement amepata ajali ya pikipiki siku ya ijumaa. Tumuombee apone haraka ili arejee kwenye mihangaiko yake ya kila siku.
Jamaa mmoja alifika kijijini kwao kakuta mtandao wa simu unapatikana.. akaamua kumwandikia meseji mke wake.. bahati mbaya akaituma kimakosa kwa mwanamke ambaye alikuwa amefiwa na mumewe... Yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.