JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimenunua ka vitara ka kutembea na Ma wife arabela lakini haka kagali kana nishangaza eti Kwenye MLIMA kanapandisha ila kushusha kwenye mlima haitaki hata uweke free... ..hi gari yaniumiza kichwa..
0 Reactions
52 Replies
3K Views
Hili tukio limetokea brazil kijana alikua na umri wa miaka 16 alipga nyeto ucku kucha mpaka inafika asubuhi akawa kapiga bao 42 wakamkuta ameshakata roho,mama yake anasema aligundua tatizo la...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
My switi pie, Unajua nakuthamini zaidi ya rushwa na posho! Bira ya wewe mimi siwezi kuishi, ni sawa na kukosa bunduki eneo ra tukio. Nakuheshimu kama ninavyoheshimu rindo. Wewe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mie Naanza na wasaniii hawa: * "I'm the diamond in the dirt, that ain't been found"--50 Cent-Many Men *"Mimi ni Almasi mchangani sema tu sijastukiwa"--Mwana Fa-Binamu(Copy n Pest) $.You playin...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni miaka kumi na mitano (15) imepita tangu baba yetu mpendwa ututoke duniani. ilikuwa siku ya majonzi,huzuni na siku niliyopatwa uchungu ambao sijawahi upata tena. Tunakukumbuka kwa busara,hekima...
8 Reactions
65 Replies
4K Views
ushabebwaaa kwa kutumia hii mbelekoo???
0 Reactions
13 Replies
1K Views
.....kwa mwali!
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Jamani nataka kutoa heshima kwa jamaa amepita hapa mbele yangu nikajikuta ninamkodorea macho hadi anatokomea,jamaa amebeba ndoo kichwani sinashaka inamaji au mafuta halafu amepanda kibaskeli cha...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mwalimu kauliza darasani;kwanini tunasema MAPENZI ni bora kuliko VITA? Mwanafunzi kanyanyuka akajibu;Sababu CONDOM bei rahisi kuliko BUNDUKI.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani leo sitaweza kurudi home, huku mjini nilipo kimenuka, nimeambiwa na boss wangu nilale hapa hapa kazini mpaka kesho......LOL
1 Reactions
48 Replies
3K Views
Niambie Mzee wa Totoz, Mshauri wa warembo, Mwenye bahati na Walimbwende, Dizaina wa Bikini, Mtaalamu wa Vichuchu, Fundi wa Kuzama Chumvini, Jemedari wa Viuno, Muanzilishi wa Punyeto, Hodari wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
baada ya kichapo cha wandamanaji juzi kariakoo, jana kulikuwa shwari, ikafikia mtu ukimsalimia assalamu alaikum anajibu milele amina........
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mzee waupako Mchungaji Anthony Lusekelo amelalama kuwa udini unaoendelea kushamili umetengenezwa na unatokana na viongozi waliomfuatia Mwalimu Nyerere kupuuza vyanzo vya chuki za kidini tokea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada wa haraka. Mwenzenu nimeathirika, yaani natamani kila siku nile. Nikipitisha siku moja kwangu naona kama mwaka. sasa ndo tusemeje, mi ni mgonjwa au? Naombeni msaada wenu waungwana.
0 Reactions
101 Replies
7K Views
Kuna dereva mmoja liwaganga watu 26 na kuwasababishia kifo papohapo. Polisi wa usalama barabarani walipo muhoji ilikuwa kama ifuatavyo... Polisi: Ilikuaje ukawagonga watu 26. Dereva: Kulia kwangu...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Nakumbuka nilikuwa na miaka mitano kituko hiki kilivyotokea. Siku hiyo alikuja mgeni toka Mbeya na debe la mchele. Wali ulipikwa siku hiyo tofauti na tulivyozoea kwani ilikuwa ni wakati wa sherehe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
chemsha bongo! 8 8 8 8 8 8 8 8 -------- 1 0 0 0 8 x 8 = 1 0 0 0 thibitisha jibu la 1 0 0 0 limetokanaje!!!!!!
0 Reactions
6 Replies
974 Views
Sasa nakiri ni ukweli usiopingika kuwa siyo lazima mtu uposti kitu kwenye hili jukwaa la jokes and gossips. Mfano mzuri angalia hii thread yangu, haina mantiki yeyote na wala haiendani na hili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawapa hi tu, niliwamis sana jamani. kwa leo sina thread nikipata nitawaletea wapendwa wangu. leo nawapa hi tuu.
0 Reactions
7 Replies
763 Views
MCHUNGAJI : nasema pepo toka ktk jina la yesu!!. PEPO : sitoki!! MCHUNGAJI : Shindwa pepo,toka na mwache huyu mtumishi wa mungu! PEPO : Sitoki,nimemwingia huyu mtu ili ashinde bahati nasibu ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom