JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kupokea like kutoka kwa charminglady Ahsante sana kipenzi wa moyo wangu charminglady kwa kunigongea like kwa mara ya kwanza katika thread fulani hivi,....hii kwangu ni kama ajari ya kufa mtu,hii...
5 Reactions
55 Replies
4K Views
DIRECT TRANSLATION FROM SWAHILI TO ENGLISH.. 1)Wacha mchezo - leave sport 2) wewe ni kiboko yao - you are their hippopotamus 3)nasikia kizunguzungu - am hearing english english 4)mahindi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin
0 Reactions
8 Replies
2K Views
anaejua lini itatokea neema kwa wale waliofanya usaili tar1hadi5 maana watu tunakua na pressure mbili mbili mara ya kupanda mara ya kushuka,kwa anaejua tafadhari!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wana MMU, samahani kwa kutowawekea picha maana nilishindwa kuipiga faster na kuogopa kichapo pia, nilikuwa natoka lunch nikapishana na baunsa mmoja aliyekuwa amevaa fulana yenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
BABA mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz', Abdul Juma amefunguka juu ya mrembo anayetaka aolewe na mwanaye huyo. Akizungumza na paparazi jijini Dar, Mzee Abdul...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
http://www.shinbow.com/2011/07/05/some-naughty-reasons-of-traffic-accidents/
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...na tena yawe ya dhati maana uzushi hautakiwi hapa. Iko namna hii: Siku kadhaa zilizopita mimi na shemeji/wifi yenu Kongosho tulikuwa tunaangalia documentary fulani ihusuyo wadudu (could be...
0 Reactions
7 Replies
906 Views
The word 'politics' is derived from the words 'poly' meaning 'many' and the word 'tics' meaning 'blood sucking parasites',, you can put a comment on that meaning.
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Haya jamani mjionee mambo!! MTU mmoja alifariki na kwenda jehanamu. Kufika huko akakuta kuna jehanamu tofauti tofauti kwa kila nchi. Akaamua kuzunguka zunguka ili aweze kuipata jehanamu yenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mmh, babu na mjukuu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni msanii gani au mtu maarufu gani unampenda na kumchukia na kama unampenda elezea kwann na kama unamchukia pia toa sababu za wew kumchukia Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naombeni mnikaribishe ila siyo kwa VIJEMBE na MIPASHO.
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Wanajamiiforum nipokeeni mwenzenu toka cngida...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
"THIS IS VERY INTERESTING STORY OF MY LIFE" ......baada ya kulog in facebook inbox yangu ilikua inaonyesha kwamba una msg 2 moja ilikua inatoka kwa mdogo wangu akiwa ananijulia hali, msg ya pili...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Huwa nayapenda sana majibu ya wana-jf, asa leo nataka kujifunza kutongoza mschana, hebu niambieni nikasemeji nikishakutana nae??
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna bwana mmoja alikuwa kalala na mkewe mara mke akawa anaota kwa sauti jifeche jifiche mumewangu anakuja. mumeakakurupuka na kuruka akatokea dilishani akiwa na nguo ya ndani (ch#p) akiwa nje...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Night shift... just waiting for something to happen but nothing does... usingizi unaninyemelea, nimeamua kuingia JF mara moja nichemshe Bongo Leo nimefikiria sana. it doesnt happen often, so read...
6 Reactions
42 Replies
2K Views
Leo nilikuwa na wakati mgumu kujiokoa na moshi wa kutoa machozi pale central kama zali now niko powa. Aisee kumbe inawasha vile ilibidi ninunue maji
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi nikienda nyumbani Morogoro napanda ABOOD BUS, nikienda ukweni Arusha napanda GORIKA BUS....Endeleza na wewe mkuu....
0 Reactions
78 Replies
11K Views
Back
Top Bottom