watu wenye ugonjwa wa 'sonona' ni wengi sana.
Watu hao, hupendelea kula mirungi, kuvuta bangi na kunywa pombe sana.
Kama unaonja yeyote niliyoyataja hapo juu, unafahamu fika bora uanze...
Hii imeokotwa katika dust bin la humu JF, bado nafuatilia mwandiko huu ni wa nani nitawajuza ni ya nani.....
"Dear mke wangu,bila shaka u mzima wa afya dhumuni la barua hii ni kuomba kama...
Unamnunulia demu wako
simu..
mwanaume mwenzio
anamnunuia muda wa
maongezi..
huo ni mgawanyo
wa kazi/majukumu
Unamnunulia chup mwanaume
mwenzio anamvua
huo ni mgawanyo wa madaraka/...
BADILI TABIA Yummy na cacico wote P7 tena UPE.
Asprina darasa la nne,taaluma mrina asali,rafiki yake Kaizer fom fo shycom ef ef ef ef kazi fundi makanika.
Tuje kwa bishanga sasa:
Kidato cha...
Wana JF, kama ilivyo majina mengine, mtu anapojipachika ID humu JF anakuwa na maana yake. Kwa IDs zao au michango yao, unaweza kuhisi hulka au tabia zao. Haya ni mawazo yangu juu ya wafuatao...
Dear Preta,
Yesterday, I was passing by
your rectangular house in
trigonometric lane.
There I saw youwith your cute
circular face, conicalnose and
spherical eyes, standing in
your...
naonaga wadada baadhi wamevaa pete mbili, ya ndoa na uchumba at the same time, wengine huvaa moja kati ya hizo mbili hapo uwa naelewa either kaolewa au yuko engaged, sasa hawa wenye mbili cacico...
Kifupi nam-admire kinoma mi mdada m1 humu. N natamani sana nionane nae. Ni hayo 2! Iko siku ntafunguka zaidi..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
good sunday JF, naombeni kuuliza. siku za jumapili nikiwa naenda church nimekuwa naona watu wakitembea hasa hii njia ya oysterbay along the ocean. wako dressed for a walk na ni wengi. mwanzoni...
mara ya mwisho tuliachana paleee kwenye mishkaki ya firigis
mwenzenu pacha wangu jamani
hata wifi yangu sakapal nae simuoni!
eh jamani nisaidieni kuwatafuta Madame B hujamuona chuoni huko? Nyani...
Samahani,naomba mtu aniandikie kwa maneno ya kiswahili namba izi mbili 10,001 na 11,000.Wengine kidogo lugha zetu za asali zimetualibu kiswahili kinapiga chenga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.