Siku moja Binti alimuuliza mama yake:
Binti: Mama hivi sisi binadamu asili yetu ni nini?
Mama: Hapo mwanzo Mungu alimuumba Adam na Eva, nao walizaliana na kuongezeka hadi tukazaliwa sisi. Baadaye...
A Qualified Engineer married an uneducated girl.
After 2 years of having Tough life with here.The Engineer got angry and send a note to his father-in -law,
"YOUR PRODUCT IS NOT MEETING MY...
{1}Inaburudisha sana pale unapoamka usiku unaangalia saa unagundua bado una masaa mawili zaidi ya kuendelea kulala kabla ya muda wa kuamka kwenda kazini/shuleni/chuoni kufika.
Jamaa kaingia kwa kinyozi na mtoto,akaomba anyolewe nywele na ndevu.
Alipomaliziwa akasema mtoto pia anyolewe,akaaga kuwa anaenda dukani kumnunulia mtoto viatu.
Masaa matatu yakapita jamaa...
Matatizo ya ENGLISH medium school kwa watoto wetu, siku moja MTOTO alichukua passport ya ***** na kuisoma, akaona ilivyoandikwa:-
Name: AMINA
Place: TANGA
Birth: 1979
Sex: F
Mtoto akamwambia...
Hapa Nazungumzia Ile Tabia Uliyokuwa Unaifanya Utotoni Na Umekuwa Nayo Mpaka Leo Ukubwani.
Mimi Tabia Niliyokuwa nayo Mpaka ukubwani ni Kupenda Kukaa Pamoja na Makundi ya Wanaume.
Wewe Je?
Jamaa mmoja alikua akiishi na mkewe, lakini mkewe alikua nafuga paka na yeye jamaa alikua hampendi kweli yule paka. siku mojaakaamua aende akamtupe mbali.
Akamchukua na kuendesha gari kama...
Usiku mmoja Watu wanne walitaka kuvuka toka upande mmpoja wa mto kuelekea ng'ambo ya pili wakiwa na taa moja.... wanatakiwa wavuke mto at a time,kwa watu wawili either one or two people, must have...
Which was your favourate subject in Secondary/high
school?
''Ulipenda somo gani ulipokua shule ya upili???''
1. Mathematics
2. English
3. French
4. Physics
5. Chemistry
6...
Jamaa alikuwa kwenye taxi akapita nje ya bar moja yenye guesthouse akamuona mkewe akipotelea ndani ya hiyo bar;
JAMAA: Dreva simama. Unataka laki tatu ya chapchap?
DREVA: Bila shaka mzee
JAMAA...
Baada ya kuhitimu Elimu ya Msingi, hususani miaka ya nyuma ikizingatiwa nafasi za kuendelea na Elimu ya Sendondari zilikuwa finyu, ilikuwa ni mwanzo wa harakati za kuanza maisha.
Je ulifanya nini...
Kukojoa kitandani ni utoto tu akikua ataacha
Kulilia rambaramba ni utoto tu akikua ataacha
Kuzomea zomea bungeni ni utoto tu wakikua wataacha
Kushabikia timu inayokupa stress mara kwa...
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kunipa pumzi hadi siku ya leo, mengi yamepita amenipigania na wapo wengi humu ndani tumezaliwa siku moja wengine ikiwa...
MOTHER:My son must obey me unless he didn't suck my breast for 1 year
WIFE:He sucks mine now & sucked it for more than 5 years and is still sucking
MOTHER:I carried him for 9 months
WIFE:He was...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.