Kesho ni siku yangu ya kuzaliwa.
Even much amazing ni kuwa nimezaliwa siku moja na CUTE!
Saint fulani ningependa kukushirikisha furaha hii ndugu yangu...
Happy birthday Mphamvu!
Makini na washamba-SUA.
Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.
Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.
Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.
Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI...
Natoa taarifa kwa CHIT CHATTERS WOTE kwamba kuna mwenzetu ambaye huwa na wake wanne humu, tangu majuzi hakuna cha zamu wala nini; wakeze wote wako kwake na imekuwa ni bandika bandua akitoka huyu...
Wakuu nimefanya mauaji ya kinyama sana aise.
Kuna panya walikua wananisumbua kwa miezi3 sasa,kila nikiweka sumu nawakosa,sasa jana kuna jamaa kanipa ushauri wa bureeee kwamba nitumie ile dawa ya...
Niko sehem na kanyumba kadogo kamependa kuja kula ice cream. Around kuna watu wengi wanaenjoy. Wakati madem na watoto wanakula ice cream, juice, vinywaj bard na baadh vileo, nakereka sana kuona...
Ooh My God!
Jesus!
Yesu na maria
WTF!
I knew it!
hahahaha (unacheka umepata kisingizo cha kuachana)
Its over
we need to talk!
I love u hahahahaha(ya kinafki)
Awussubillahi...
1. Take your shoe size.
2. Multiply it by 5.
3. Add 50.
4. Multiply by 20 ...
5. Add 1012.
6. Subtract the year you were born��
The first digit is your shoe size, while the last 2...
Nakuja huko kesho ndugu zangu, kama kuna mwana JF yeyote anayeishi maeneo hayo, Lindi mjini mpaka Ruangwa,, nitakuwepo huko kwa muda wa siku kadhaa kama nne hivi.
Wapendwa wa CC habari za asubuhi! Leo ni siku nyingine tulivu, siku ya kumwomba Mwenyezi Mungu kwa wale wenzangu mimi! Twendeni kanisani wapendwa tukasali. J2 Njema wapendwa wote.
Me zilizokuwa zinanikonga nyoyo ni THE BOLD AND THE BEAUTIFULLY wahusika kidogo nmewasahau!
THE PASSION wahusika ni bi.tabitha,cherry....
MR COOPER jaman hi comedy sintaisahau steling ni cooper...
simu yangu ni nokia c3, nimejaribu kudownload whatap but ikifika kwenye ku verify phone number inandika kuna error 42 kw anaejua kusolve hii kitu naomba msada pls
"What makes you rich is what you do after office hours!"
Nimekutana na huu ujumbe ukanipa mawazo sana!
Je, kuna ukweli ndani yake?
Tafakari...chukua hatua.
Alamsik....
Sio kila mara nasafiri kuona maajabu ya dunia, kuna maswali ambayo uwa najiuliza na hayana majibu, safari hii nimeifunga all the way from rockcity, nimemuacha mama watoto akiwa kwenye bedrest, ili...
Pana BUBU, KIZIWI na KIPOFU pamoja na mke wa KIPOFU...
KIZIWI akawa anatembea na mke wa KIPOFU ihali BUBU anajua hilo!
Sasa BUBU atamwambiaje KIPOFU kua KIZIW Anatembea na mkeo... Great...
Mwenyewe anajijua.
Kwanza nilifanya mishemishe zangu nikang'oa Manzi Mkali kinoma humu.
Japokuwa Manzi alikuwa ana Mtu wake basi akanipangia na mimi Ratiba yangu.
Bwana ya Manzi alipogundua akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.