JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mnaojua wapendwa wa jf, kuna umbali gani kutoka Dar hadi chalinze (km), na kuna umbali gani toka chalinze hadi arusha (km), naombeni msaada wenu jamani kwa hili tatizo langu. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapo tanga kulikuwa kuna mtu na mke wake wameoana, ila ndoa ile ilikuwa haina amani, mke wa jamaa huyo alilalamika mateso ktk yake hiyo na kudai talaka kila siku. Sababu za ugomvi huo kati ya mume...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ha ha ha leo ndo Frahiday na ndo mwanzo wa kula bata ndef. . . . . Je umepaka ku2mia kias gan cha fedha ktk wkend yako na utatumia kiasi ulichopanga. . . . ? ? ?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtanzania na mkenya waliingia supermarket moja jijini DSM.Walipotoka nje,mkenya akawa anajigamba kwamba wakenya ni wajanja kuliko wa-TZ huku akimuonesha m-TZ chocolate tatu alizokwiba...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Sikuchunguzi ila kufahamiana si vibaya huwezi kujua pengine wewe ni jirani yangu au pengine mimi ni house boy wako tuko chini ya dari moja...............Na zaidi unaweza kukuta Bishanga ni ndiye...
5 Reactions
137 Replies
8K Views
@CUTE happy birthday najua birthday yako ni badae tar 21 ila nakuwish kabisa sasa hivi maana tunakwenda out so tukirudi naweza nikachelewa kukuwish hapa jamvini To stay with you, to hear your...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
kuna jamaa alioa mke kutoka mbwise hajuiuume wala mapenzi usiku wa ndoa mke akauliza hii ni nini akaambiwa yaitwa popoo!halafu jamaa akaongeza ninayo mimi peke yangu hapa duniani cku moja jamaa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanaume wengi tumekua tukijidanganya kua kama hauna mvuto kwa maana ya uzuri wa asili, basi huna thamani mbele ya wanawake, that's so wrong! . Mvuto asili ni vionjo tu, vinavyomfanya mwanamke...
1 Reactions
54 Replies
3K Views
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Jamaa akiwa ndani ya Taxi alimwona mkewe akiingia ndani ya hoteli na mwanaume flani.Akamwuliza dereva wa Taxi, "unataka nikupe elfu moja?"Dereva akakubali.Jamaa akamwambia, "nenda uko ndani,mke...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana Chit Chat, PM humu Jamvini ni nyenzo muhimu kwa matumizi mbalimbali! Leo napenda kupata ushuhuda je PM imekusaidia katika lipi? Kuna wengine wameshaweza ku-exchange phone numbers, e-mail na...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Mimi nipo dar es salaam, natafuta boyi kwa lugha ya kwetu inaitwa shaghii. Ni ile ya kushikia sufuria wakati wa kusonga ugali. yenyewe ina umbo la "Y". Mwenye kujua zinapo uzwa hapa dar naomba...
2 Reactions
58 Replies
5K Views
Umewahi kusikia hii: eti ukiwa unamnyonyoa bata huku unaongea manyoya hayaishi. Mi sijui kama ni kweli. Wewe je?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
............. Jamani hii sio utani bali ni live bila chenga nimeshuhudia ugomvi wa watu kushikana na kutupiana ngumi kisa jamaa wa Simba kumuita mtani wake wa siku nyingi TWITE, jamaa wa Yanga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
.......Mmasai alipeleka radio kwa fundi wakati fundi anaifungua mende wakatoka... mmasai akapiga kelele "yero' kamata hao watangasaji wanatoroka ............ !!!!!!!!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakati mwingine huaga sipendi kelele na ndo maana naamua kisikiliza empty c.d!!!!!!!! nilicheka sana
2 Reactions
21 Replies
8K Views
Punde hivi nilikua kwenye duka la Muhindi, nikinunua chupa ya chai. Nikamwambia dosi "nipatie thermos" akaniuliza "nataka ile kuba au dogo , au ile kati ? Ile kuba iko beba kombe 12" Nikamjibu...
0 Reactions
4 Replies
953 Views
Habar wakuu,leo asbuh majira ya saa 12 nilipoingia bafuni nikakuta kitu kimedondoka chini,baada ya kukiangalia kwa makini nikagundua kuwa ni shanga,ambazo kwa kuziangalia tu nikagundua ni za...
0 Reactions
94 Replies
6K Views
I. Jamaa waliona raha sana kunipiga ban mwana wa mwenzao, ila poa uzuri nimelelewa na mama wa kambo, wageni walikuwa wanaita manyanyaso ila kwangu mimi yalikuwa mazoezi. Nimerudi salama wa...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
I wonna Take this Golden opportunities to wish all JF Chit chat Members a happy and a Marvelous Friday!!!!
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom