SUMU KIDOGO TU TOKA KWA COBRA INGETOSHA KUUA NGUCHIRO KAMA HAWA MIA NA ZAIDI LKN EBU ANGALIA HII KITU. BONYEZA LINK HII HAPA CHINI
Cobra vs. Mongoose - YouTube
Mfanya kazi wa mochwari aliona maiti ina uume mkubwa, akaukata ule uume ili akamwonyeshe mkewe. Mkewe kuuona tuuu akatahamaki!!!
Mungu wangu,ina maana fundi amekufa!!!!????
Walevi waliokota kioo
Mlevi mmoja: Kakitizama kioo kwa muda halafu akasema "Hii sura sii ngeni ila jina silikumbuki."
mwenzie akachukua kioo kuangalia
akasema: "We mlevi kwelikweli, si mimi...
Habarini!
Kwa wanaopenda kuhudhuria mafundisho ya Mch. Mwakasege, atakuwepo viwanja vya Biafra-Dar kuanzia tarehe 19 Feb 2012.
Wote mnakaribishwa.
Mbarikiwe sana!
MITOTO MINGINE KWAKUTOPENDA SHULE BWANA
Baada ya mwizi kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vingi wakati akijiandaa kuondoka ghafla anadakwa mguu na dogo..
Dogo akamwambia mwizi usipochukua...
MITOTO MINGINE KWAKUTOPENDA SHULE BWANA
Baada ya mwizi kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vingi wakati akijiandaa kuondoka ghafla anadakwa mguu na dogo..
Dogo akamwambia mwizi usipochukua...
Ya..... Tumbo, Uzazi, Moyo, Koo, Matiti, Kupunguza/Kukuza Makalio.........
Ni lini na hospital gani??
Mimi sijawahi fanyiwa operation hata 1 lakini nina mpango wa kufanya penis enlargement...
Kuna shoga m1 alikua bar anakunywa bia, mara akasikia nyimbo inaimba hv, "wanaume 2meumbwa mateso kuangaika" yule shoga akasema eheee niljua 2 ndio maana nikajtoa uko mapemaaa!!
Ndugu yangu nunua gari mapema ukichelewa unaweza kupata namba za aibu kama vile:
T 325 UKE,
T 268 UCH,
T 452 TIA,
T 128 VUZ,
T 169 SEX,
T 694 MBO.
kazi kwako..
Msambaa mmoja alikuwa amepakia plastiki la maziwa kwenye baiskeli kupeleka lushoto mjini kuuza, kwa kuwa ilikuwa kipindi cha mvua, madimbwi yalikuwa ni mengi huku barabara ikiteleza sana, basi...
mu-hali gani wana CC, wadau hakuna kitu kinachonikera kama upo kwenye public transport halafu mtu anafungulia muziki kwenye kamchina kake muziki wenyewe mbovu. wakati mwingine unakuta watu...
Mapenzi ya siku hizi ni ya kutamaniana,kutumiana,kufilisiana,kukwanguana na kubwagana,na si ya kupendana kwa dhati,si ya kusaidiana na kulipeleka gurudumu hili la maisha mbele.
Kwanini Mambo...
Juliety alikwenda kumwona daktari baada ya kusumbuliwa kiafya. Maongezi yao yakawa hivi:
Juliety: Dr Ninatatizo la kupata mkojo wenye rangi ya njano.
Doctor; kwa wastani huwa...
...anaposema "DAR ES SALAAM FOLENI HAITOKUEPO
TENA..." me napata picha hili ndio "ze mwendo-kasi
slipingi kochi" unaionaje kauli hii ya mheshimiwa?
itatekelezeka au ni siasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.