Wapo wanaoihisi kufua nguo za ndani za mwenzio ni uchafu ama kejeli ama dharau
binafsi akuna raha kama kufua nguo ya mama didy kipindi cha hedhi we eeeeee na saabuni nabadilisha kama alikuwa...
Mwijano alidhamiria kuja mjini Dar ili aungane na wenzake katika biashara yao ya kuuza vyombo vya nyumbani kwa kuvitembeza majumbani kwa mikopo. Baada ya kuuza ndizi na mahindi aliamua kupanda...
Kwa wale wanaotarajia kupata m(wa)toto ungependa aitwaje kama ni mvulana au msichana ,mmoja au mapacha me ngependa mtoto wangu nimuite NDALICHAKO wewe je?
Jamani mwenzenu nahesabu siku tu nivute kajiko kangu ka gas niwe napikia peke yangu'sasa hebu nisaidieni kawifi kenu au kashemeji kenu kavae ipi siku yenyewe kati ya hiyo namba 1 au 2? Na kiwifi...
morning guys,
nahisi ni vyema tukafahamu proffessional zenu, mtu anaweza kupata shida asipate mtu wa kumsaidia kiutaalamu. kama tujuavyo hapa kuna ma-doctor kama dr MziziMkavu.. dr. Riwa...
Wanachitchat
Mie ni mgombea wa miss chitchat though ni mrs ErickB52 tayari. Naombeni kura zenu, hakika nawaahidi donge nono, free full Internet, parties kwa sana, bia na nyagi za kufa mtu, nyama...
Vile unavyomwona CHURA je kakaa,
kasimama, kachutama au kalala?
Hzo zote zilikuwa nimbwembwe2 ila point ya mcngi hiiyapa:
"mm nimgeni hapa naombeni mnikaribishe wapendwa wng...
Jamani eee wanajamvii naombeni kuwasilisha hili kwani nimelifikiria nimeona linafaa!! Ni kuhusu ''JINSI'' AU ''JINSIA'' kuna THREAD ambazo unatakiwa uchangie kwa kuzingatia ''JINSIA'' kati ya...
Kuna mtu kanijia analia kapigwa kibuti na GF wake,nikamshangaa yaani kibuti tu ndio unalia mbona wako wengi tafuta mwingine maisha yaendelee,jamaa akaniambia kinachomuuma sio kuachwa ila ni vile...
mi nilikuwa nampigia pande bwana Wakati ndik sasa ili angalau mama watoto wangu charminglady apate bedrest yake kwa amani wakati siku zinajisogeza, sasA mlengwa hata habari, naona mr. mkiva...
Habari wana MMU,
kama uko pande za singida na dodoma tuwasiliane kama hutajali tupeane hi na kampani ya ukaka na udada (kama jinsia itakuwa tofauti na yangu)......, kuhusu gharama za mkao kila...
Wanajamvi yaani hapa ni saa tisa na dakika ishirini na tano nimekaa sebuleni namsubiri Mama V arudi toka kwenye kitchen party aliyokwenda tangu saa nane alasiri! Yaani sielewielewi ati! Sijui...
nilikuwa naona kina Mwali na wenzie wako bize wanasimuliana kuhusu playstation sijui xbox 360, sasa wakati wetu ilikuwa hakuna izo ndude, kulikuwa na vitu kama hivi
na mimi ndo nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.