JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwa sura na umbo lake. Umemuona wapi? Ulijisikiaje?
0 Reactions
90 Replies
5K Views
0 Reactions
3 Replies
934 Views
Leo nataka tukumbushane mji wetu mkongwe,mji maarufu wenye historia kubwa ndani ya nchi hii lakini inayoelekea kupotea.Mko wapi watoto wa kariakoo wa ukweli mtueleze tuijue kariakoo iko...
2 Reactions
151 Replies
14K Views
Chagua slogan yoyote halafu sema "in my pants..." Halafu malizia na hiyo slogan, utacheka balaah. Mf: kazi ni kwako - voda hao In my pants...kazi ni kwako Mf: pepsi - dare for more In my...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajf leo tutambuane nani yupo single, married, widow, etc kama ulipigwa kibuti hapa uwe huru pia kutiririka na hii ina umuhimu mkubwa sana na itawasaidia wote wanaotafuta wapenzi kila siku...
0 Reactions
361 Replies
20K Views
Wakati wenzangu wako busy na kuyawaza ma Toyota, mie moyo wangu naubwaga hapa kwa Mjerumani. www.carsarmored.org/photogallery/mercedes-benz-g-guard-4.jpg
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mke kamnunulia mumewe dozen ya ch*pi i.e boxer zote za rangi ya bluu. {MUME};Akhsante kwa zawadi mke wangu lakini umekosea kidogo,ungenunua za rangi mchanganyiko kwa sababu watu watadhani mimi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
jamani natafuta mke humu lakin thijui kama nitapata!
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Nipo ndani ya Coaster naelekea home Tunduma.Kuna abiria washamba wawili wanashindana kupiga music iliyomo kwenye simu zao,yaani gari zima ni kelele tupu mpaka kero.Sasa najiuliza,hivi hizi simu za...
2 Reactions
53 Replies
7K Views
Madenge alikuwa kwenye basi lenye abiria wengi. majambaz wakawavamia na kuwapora simu na usipotoa "una chomwa sindano ya damu ya ukimwi" watu waka toa lakin madenge hakutoa akachomwa ile...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo nimepewa lift na mheshimiwa fulani kwenye gari. Jamaa leo alikuwa na tumbo chafu, alikuwa anajamba sana; na kila ushuzi anaongeza kiwango cha harufu mbaya. Kila alipokuwa anajamba anaongeza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenyeji: karibu Mgeni: Asante Mwenyeji: utakunywa chai au juice? Mgeni: ntakunywa chai nikisubiri juice Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
3 Reactions
16 Replies
3K Views
TICHA: yani elimu siku hizi imeshuka sana na mitihani ya siku hizi imekuwa rahisi sana tofauti na enzi zangu. MWANAFUNZI: kwani wewe ulisoma enzi zipi? TICHA: enzi zile uwanja wa Man Utd ulikuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chezea cacico weye.........................!!!!!!
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Wanajukwaa nina kama mwezi mmoja hivi tangu nimejiunga na ofisi flani hapa mjini na nilipoingia kutokana na kijipanga sawa sawa wadada wa ofisi hii wakaanza kuleta mazoea ya kienyeji...
0 Reactions
70 Replies
4K Views
Yes it is your birthday..... Sala zetu zimesikilizwa. Hatimaye siku imewadia. Tunamshukuru Mungu. Tunakuombea maisha marefu, upate watoto wengi waizunguke meza yako wakati wa chakula cha mchana...
9 Reactions
148 Replies
11K Views
Mimi basic need yangu ni kama ifuatavyo -2 = fedha -1 = Yatima 0 = God 1 = charminglady 2 = Jf 3 = St. Paka Mweusi wewe je?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mimi kwa upande wangu nishawahi kumchukia mmama mmoja ambaye alikuwa analeta maneno ya uongo kwa mama yangu, kuwa kijino anawanaume ni malaya, kipindi hicho nipo form 1 hata wanaume cwajui, yani...
0 Reactions
118 Replies
6K Views
Kumbe sikujua kwamba wanaume wa kihindi huwa wanaolewa na wanawake. Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1996.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Atakaepata kitendawili hiki, ani-inbox number yake ya simu nimrushie buku 10. Sharti la kitendawili hiki unatakiwa utoe jibu la uongo, ukitoa jibu la ukweli basi utakuwa umekosa. "Analia nyau...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom