It was early morning at the military base, and the first sergeant was calling out names for the daily work parties listed on a piece of paper:
"Kimbweka"
"Here!"
"Mentor"
"Here!"
"Madame B"...
Nilimpenda sana sweetylady ila nimegundua hakuwa na mapenzi ya kweli kwangu. Ameweza kudanganyika na akina Vin Diesel huku akichochewa na Erickb52. Mapenzi kweli kuzunguzungu
I've kissed the moon a million times
Danced with angels in the sky
I've seen snowfall in the summertime
Felt the healing of the powers above
I've seen the world from he highest mountain...
Yaan unaweza ku~follow kila post ya member uliyem~follow, unapata notification kila akipost na unaweza ku repost hiyo post yake. Ningemfollow member anaitwa Asprin, japo tunatofautiana sana...
Haya tupoteze mawazo na nahau, ukiandika nahau, atakayetoa maana yake, naye anaandika yake:
amelala fofofo-amelala usingizi mzito.
Ana ulimi wa panga..... endelea....
Padri na Shekhe walikutana kwenye ndege.Padri akamkaribisha Shekhe kitimoto, Shekhe akasema huwa hatuli. Padri akasema mnakosa uhondo. Wakati wakushuka Shekhe akamwambia Padri nisalimie wake zako...
Ni mod anayependa sana kujibu kwa kizungu hata kama umemuuliza kwa Kiswahili. Tulimwajiri miaka 5 iliyopita na tukampa "Terms and condition", na alituvutia kwa sababu alituambia yeye ni msomi wa...
Ni kati ya mademu wawili na kila mmoja anatabia yake,na mbali na hao niliwahi kuwa nao zaidi ya hao wa3 ila kupitia mchujo wangu hiyo ndiyo top2 yangu!,...
Sifa zao ziko hivi;-
1-anadeka halafu...
Kitambo nimesugua kichwa ni zawadi gani nimpe kila Jf member na hatimae nikapata hii .
Wewe member unaesoma haya niandikayo hii ni gift nakupa , kupitia ujumbe kwamba :-
KATIKA maisha kamwe...
Zain- ni siter du anayependa starehe na kubadili majina na kupenda wenye nazoVoda- Mchumba wa kuoa kabisaZantel- Jimama la kulea vitotoTCCL- Kibibi kinacho lazimisha ujanaTigo- Changudoa asiyejali...
Utaipata kwa Laki...
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji. Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea John, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred...
MCHONGOAN0
1.We ni mweusi kinoma hadi damu yako huzunga na tochi.
2.Wewe ni mlevi mpaka mosquito ikikuuma inalewa.
3.Uko mu-ugly mpk ukitaka kupanda daladala conda anakutell "ha2bebi wanyama...
Kama leo hii utapewa nafasi ya upendeleo ya kupendekeza mambao ambayo unaona yawe dhambi au mema, ni mambo gani ambayo kwa sasa unayaona kama ni dhambi ambayo ungependekeza yaruhusiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.