mke wa kipofu anatembea na kiziw kwa siri lakin anaejua ni bubu, je bubu atafanyaje ili amwambie kipofu kuwa mke wake anamsaliti? .ukiwez kunipa njia atakayoitumia
Jamaa mmoja alikuwa na mke wake ambaye anampenda sana paka, Jamaa hakumpenda yule paka na kila siku ilikuwa ugomvi.
Siku moja aliamua kumchukua yule paka na kwenda naye umbali wa...
Wandugu...salaam.
Natumai Friday yenu iko poa..
Jamani nna shida kidogo kama kuna mtu anaeza kunisaidia.
Kuna series inaitwa FRIENDS nnaweza kuipataje jamani??!
Kuanzia tu na season one aisee...
Kuna dada mmoja mtaalam wa mambo ya Tech,
Siku moja alikua anabofya bofya ktk keyboard yake huku akinywa soda, mara ikamwagikia juu ya Kboard, sasa badala ya kufuta, ye akabonyeza Ctr + Z (undo)...
habari za mchana wana JF, hebu tutajie jambo ambalo uliwahi kusingiziwa umelifanya ILA kumbe hujalifanya na ikapelekea kukunyima raha au kukosa amani....
PADRE aliwauliza waumini PADRE: Ni kiungo gani cha mwili hupatikana katika sehemu iliyojificha na kina wingi wa unyevunyevu kinaweza kufanya ndoa iwe imara sana au kuyumbisha??? WAUMINI: Kimya...
Wanafunzi watano wa chuo kikuu kimoja
hapa nchini walikuwa wanatakiwa
wafanye mtihani siku ifuatayo. Wale
wanafunzi wakanywa pombe mpaka saa
nane usiku. Siku ya mtihani wote wakawa na uchovu...
Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi
tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya...
Nijuavyo mie, binadamu amejengeka na viungo kadhaa mwilini mwake .
Mf. Pua , Macho , Maskio, Kidevu , Magoti n.k n.k
Aidha viungo husika , idadi yake inaendena na kanuni ya maumbile ilivyo...
Wana Chit Chat,
Ishu hii ingekukuta wewe ungefanyaje? Iikilize vizuri hii kitu
Samahani kwa usumbufu kwa wale ambao hawakuona linki. Nimeirekeisha hii hapa chini...
Jamaa mmoja alikuwa ameshikwa na tumbo la kuhara, basi kwa bahati nzuri aliona uchochoro hivyo aliamua kwenda kujistahi, kufika pale akakuta kibao kimeandikwa 'marufuku kukojoa hapa'. Jamaa...
Katika Jumapili moja,kuna sharobaro mmoja alienda na demu wake kanisani...ukafika muda wa kutoa sadaka mara yule sharobaro akamzuia demu wake asitoe sadaka huku akimwambia ''don worry baby i will...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.