jf imekua ulimwengu kwa watu wengi, kuna kitu tunakikosa huku. . .naomba ombi maalum kwa modes ianzishwe mahakama maalum ya jf, itakayoamua kesi za humu humu ndani.
Ni maoni tu nakaribisha...
Akina mamiito na Dadiito.
Nashindwa hata kupanga ratiba as am so ecited jamani. hebu nisaidieni.
kwa kuanzia natoka job saa saba.
Mwenye atakayenipa ratiba nzuri nitampa siri yangu.
Kama mliangalia ile ya kwanza na ukaipenda, hii ya pili ni kali zaidi na kama kawaida mastaa kibao unaowajua, baadhi yao ni kama;
Rambo
Jet Li
Arnold Schwarzenegger
Bruce Wills
Dolf Lundergren...
Mke: Naomba tuongee mume wangu
Mume: Ongea
Mke: Ni kuhusu huyu house girl wetu
Mume: Hilo ni tatizo lako, halinihusu
Mke:Ana mimba
Mume: Hilo ni tatizo lake, halinihus
Mke: Kasema ni yako
Mume...
Ndugu zangu wana chit chat,jioni ya jumapili kuamkia j3 kama saa mbili usiku nikiwa kwenye baiskeli yangu nilipata bahati mbaya na kujikuta kwa bahati mbaya naingia kwenye njia ya Tram na...
Walaaniwe wote wanaoiombea CHADEMA mabaya na watu wote tuseme AMEN......
Walaaniwe wote wanaojaribu kuwa wanafiki kwa mioyo yote na kuona kwamba POLISI wamefanya kazi yao kwa kuua watanzania...
Wakuu naomba kwa anayejua kuhusu mambo yaliyokwisha ainishwa kama ni ya Muungano (Tanganyika na Zanzibar) anitajie na hasa nikiwa nimejikita kwenye swala la Kodi au Ushuru unaotozwa. Je TRA ndio...
Ni kwa tukio lililotokea Moshi la kumchomesha mahindi mpaka yakaungua Don Mangi, papaa ya Kichagga. . .la presidaa of Moshi, leo atakua viwanja vya mashujaa akichoma ndafu ya ngombe. . .wananchi...
Daktali mmoja Mirembe aliamua kuwapa zoezi wagonjwa wake wa akili (vichaa) ili kupima ukichaa wao, basi akawaambia kuwa atakaeweza kukaa kwa muda wa masaa matatu bila kupiga kelele, kesho yake...
Watu watatu walibugia maji katoliki mpaka wakawa bwii, basi wakaanza kurudi nyumbani huku wanaimba wimbo wa parapanda (....Parapanda italia parapanda..) x 6.
Basi kwa kuwa ilikuwa ni siku yenye...
Habhari yenu bhana,
Katika siku ambazo ninafuraha toka kuzaliwa kwangu ni leo nilipo pata simu kutoka kwa mama kuwa kapigwa taraka na baba yangu ombaomba Arushaone
Kwakweli toka mama aolewe na...
Habari zenu woooote...........
Asprin, Kaizer na group yenu nimefundishwa dawa ya hang over jana toka maeneo fulani..........
Ukiamka nazo chukua Maziwa mtindi + Fresh Apple katakata ndani yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.