Serikali inakataza ukeketaji (japo unasaidia kupunguza nyeg*) na inakataza kurithi wajane (japo kunasaidia kutunza wajane na watoto wadogo wa marehem). Lakini naishangaa serikali kutokataza mila...
Nimejitoa muhanga rasmi kuhakikisha huyu bwana mdogo wakati ndio sasa anammiliki charminglady .Hii imetoka na kuona kijana anaelekea kusiko wote ni mashaidi.
Ni kweli nitakua ninawakati mgumu sana...
Wamakonde wanapenda sana kusafiri wakiwa wanaimba.siku mohja waliomba lifti kwenye lori la mizigo.
Njiani wakawawanaimba nyimbo mbalimbali huku wakiinjoi safari yao.
Muda ukaenda sana na safari...
Mzungu alikuja tanzania kusimamia mradi wa kujenga visima vya maji,akiwa na mitambo kibao mipya,aliwakusanya wanakijiji na kuanza kuwapa mipango ya kazi.
Mzungu:Nimekunya(nimekuja) toka...
Jamaa bhana walikuwa wanafanya UE(university exam),msimamizi wa somo alisifika sana kwa unoko na ukuda wake.msimamizi kamaliza kugawa karatasi,akaruhusu wanafunzi waanze kufanya mtihani,mtihani...
Nashindwa kujua maana halisi ya hili neno. Mtu anakua mzembe (mathalani kazini) anakua punished,
then anamwita alieyempa adhabu 'mnoko'. Hebu niambieni mtu mnoko anakuaje.....
Baada ya kua nimemshukuru Mungu kwa kunirejesha kwenya siha njema,
pili nimshukuru my wife NastyBeibe kwa kunilea na kuniuguza vyema kufikia hivi nilivyo.
Ndiyo kusema natoa ujumbe rasmi kwako...
My love asubuhi ulinshtua ulivokua unachemka mwili, na pia hata kuonge ulishindwa , naiman vidole vyako vinaeza ongea, kiukweli nimenyong'onyea coz haupo vizuri beibe wishin u a quick recovery my...
Shangazi nimekuja,japo sina nia kukukwaza.
ahadi yetu umevunja,japo ni kwa mara ya kwanza.
yangu shida sikuoni ukija,kutatua kile ninacho kiwaza.
waweza sema chizi kaja,ni love stress kutwa...
Baada ya kuachana na ndoa ya MATESO ya Mamndenyi nimekaa na halmashauri ya kichwani mwangu na nimemchagua Madame B kuchukua nafasi hiyo. Namuahidi kumpenda naye anipende kama Beibe Nasty...
Taifa letu la viroba.
Mwalimu kabla ya kuingia anapiga viloba, madenti nao ni mwendo wa viloba.
Madaktari kabla ya kutibu wanapiga viloba, na wagonjwa nao wanapiga viloba ili kupata ganzi...
HAYA MANENO MNAYATUMIA KILA SIKU LAKINI SIKU
IPOOOO?
* ''nitakupa tulia''
*'' ntakupa mbele''
*'' utapewa nyuma''
* ''nItakupa nikikaa vizuri''
*'' hivi nilivyokaa ntakupaje?''...
Kuokota hela kunaambatana na kumbukumbu nyingi.
Niliokota Sh. 10 kwa mara ya kwanza nilienda kununulia pipi 2 za machungwa. Mara ya mwisho niliokota 1,000 mwaka 2006, ilikuwa mara yangu ya kwanza...
WanaJF, ni baada ya kutoa warning naye kutojirudi.
1: Mamndenyi ww siyo mke wangu tena kopi yako
2:Mamndenyi ww siyo mke wangu tena kopi ya KATAVI
3 Mamndenyi ww siyo mke wangu tena kopy ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.