katika muda wa masaa 24 binadamu amejaaliwa kupata walau masaa machache ambayio huwa peke yake...katika muda huu kuna watu hutumia kusali, wengine kumeditate nk...ukiwa kama binadamu ni mambio...
Jamaa amekaa na mzungu kwenye banda la mihogo ya kukaanga wakiwa wanakula ghafla jamaa muhogo ukamkwama na maji anayo yule mzungu, weeee hapo sasa..!! Jamaa akaanza ''ZE.. ZEE.. CASAVA IZ STANDING...
Familia moja walimpekeka mtoto wao marekani kusoma,yule kijama alipomaliza shule kwabahati akapata kazi kule kwahiyo akaendelea kuishi kule kwamiaka mingi akiwa anaongea nawazazi wake ktk simu...
Nilipigwa ban wakati nipo kwenye mchakato wa kutafuta mke Loveconnect, wee, mbona harakati zote zilisimama! Maumivu yake usiombe kusikilizia. Afadhali haikuwa life ban.
TUCHEZE GAME INAITWA....Last man standing!!
MASHARTI ...!!
1. Hakuna matusi!
2. Unaandika sentens kwa kuanzana neno la mwisho la mchangiaji aliyepita...mfa no "Mama anapika" kama ww ndiye...
Shemeji yangu hapa nyumbani (as long as bado naishi kwa shikamoo hapa mjini) amejifungua mtoto wa kisichana majuzi kati... Dah, sasa na kibaridi hiki yeye aoga maji ya moto deile, na mimi...
Life is too short to wake up with regrets. So love the people who treat you right. Love the ones who don't because you can. Believe everthing happens for a reason. If you get a second chance...
Hapa chini ya Jua misiba iko aina nyingi.
Mf. Kufa, kuunguliwa nyumba, mafuriko, ukamenjaa n.k
Msiba niliyokutana nao leo ni pale nilipofika kwenye mji mmoja (nyumba) na kukuta :-
> Binti...
MTOTO WA KIKE NA MAMA YAKE. MTOTO: mama wahuni wa pale mwembeni wamekataa kuniangulia embe, et wamesema nipande mwenyewe. MAMA: hawana lolote nia yao walitaka kukuchungulia chupi!!. MTOTO...
"Yesterday, scientists revealed that beer contains small traces of female hormones. To prove their theory, the scientists fed 100 men 12 pints of beer and observed that 100% of them gained weight...
A man walks into a bar one night. He goes up to the bar and asks for a beer.
"Certainly, sir, that'll be 10 shillings."
"TEN SHILLINGS!" exclaimed the guy, the barman replied "Yes."
So the...
salaaam wakuu. natumaini wote hamjambo. kwa wewe ambaye ndio unajiandaa kutoka uende viwanja,kwa wewe ambaye tayari ushaanza kujilia bata viwanja fla zamaaaani,kwa wale ambao wapo nyumbani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.