Jamaa mmoja akiwa kwenye daladala tumbo likamjaa gesi akataka kujamba lkn akaogopa, baada ya kusikia kuna mziki akaamua kuachia vishuzi kulingana na bit ya mziki akijua hakuna anaesikia. Heh...
Wabongo bana Nimeshakuambia usifungue na bado umefungua.
Basi siandiki tena vitu vyangu vya siri nitaandika kwenye diary yangu.
Tuwe wastaarabu jamani..
Siku moja dereva alikuwa kawapakia wamakonde kama 35 kwenye lori wakielekea kijiji fulani chenye shida kubwa ya usafiri.Mara lile lori likiwa safarini likasimamishwa na polisi.Polisi...
Jamaa karudi toka safari kwa kuwa alikuwa na hamu sana alipofika nyumbani akaelekea mpaka chumbani kwake...mara akashtuka kukuta watu wawili wamelala(mwanamke na mwanaume) na sio mmoja kama...
sikia hili toto! mama hivi unajua housegeli ni malaika AMA: kwanini unasema hivyo TOTO:basi jana nìmemuona akiwa uchi anaongea na yesu anasema ooh yesu wangu ooh yesu wangu yaani kama si baba...
leo nipo kwenye zinduna live talk show....host wangu nasikia yupo honeymoon ...
be free nitupieni swali lolote nipo hapa full time hadi saa kumi na mbili jioni
kwa mlioko dar na miko jilani niko huku mabwepande na watafuta walisafirishaji wa twiga zetu na wanyama wengine, ni pamoja na walihifadhi mabilion huko uswiss nina imani kwa jinsi jeshi letu...
Waheshimiwa habari zenyu. Mie niko safari natokea Mz to Dar. Nimepanda bac moja (jina tunalihifadhi). Kinachonishangaza humt ndani wamejaa si kawaida yaani mpaka wengine wamesimama. Cha ajabu kila...
1. Hili ni jembe la zamani lisiloisha makali
2. Kama shilingi miambili ya kupanda kivuko nyingi piga mbizi
3. kama gamba linakubana livue uvae gwanda
4. Si kila anayewajibishwa ametenda kosa...
Kesi iko mahakama ya mwanzo Ufipani. Kesi yenyewe ni kwamba mama mmoja amemshitaki mwenzie kwa kumtukana, eti, matusi ya nguoni, hadharani. kama ilivyo ada Hakimu anataka kurekodi matusi yenyewe...
Mbongo mmoja akiwa london uingereza anaingia katika restaurant na anaagiza chipsi kuku. Kuku wenyewe wa kizungu laini kama nini. Anakula chipsi na ktutafuna kuku pamoja na mifupa yake. Jirani yake...
This is life
You regularly text your friend,they do not
reply you
but
if you text them from new
number,everyone will reply that"who are you???"
people have time for unknown but not
for...
Darling tunaenda sinema saa ngapi leo?
Mbili mbili
So, tunabeba soda ngapi?
Mbili mbili
Na John tuonampitia leo?
Aaah mbili mbili
Password yako ya ATM ya CBA ni ngapi?
................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.