JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Have a nice weekend !! Don't drive and drink!!!!!!!!!!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kutokana na makosa niliacha shilingi ya leo nikangoja laki ya kesho! Bahati mbaya nikala za uso. Nilivyodhani ndivyo kumbe sivyo! Nimejifunza.
4 Reactions
79 Replies
5K Views
Sadaka huanza nyumbani nami naanza humu kunyumba JF! Dada zangu nina salamu kutoka kwa jamaa kutoka Amerika ya kusini. Msishangae! Nilikuwa Balozi wenu wa kutangaza sifa njema moja ya wanadada wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi niko na Dereva nikielekea Mahakamani. Wewe je?
4 Reactions
121 Replies
7K Views
nasty ninaumbe kwa wale mafataki au makunguru au madege yasioliwa kuwa sitishiki na magari yeenu judgement kaja na baiskeli nikamridh haya we unaejifanya wataka kuja na hummer pole weee coz u dont...
1 Reactions
88 Replies
5K Views
> Unakuta Nyumba ina choo na bafu, lakini unamkuta mtu anaoga chooni ! Ukimuuliza whaay hakupi msingi wa sababu, aakh sipendi. > Mgeni aidha mshkaji jamaa anakutembelea mida ya karibia kulala...
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Inapotokea ajali ya binadamu kufa kifo cha kuzama majini , iwe Baharini, Ziwani , Bwawani whatever , na maiti kuelea majini. Basi kanuni ya ulalo (ueleaji) wa maiti hua ni tofauti baina ya maiti...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Tajiri mmoja wa Kimarekani alienda likizo kutalii mjini Rome, na alitamani sana kumwona Papa.Alisimama katika mlolongo mrefu wa watu akiwa na suti yake moja ya bei mbaya mno akiamini kuwa Papa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamaa kaingia hotelini ili ale halafu ana sh 3000 tu. akaagiza msosi wa sh 9000,matunda sh 2000,na kinywaji sh 2000. Alipomaliza kula akaletewa bill yake ilikuwa sh 13,000. Jamaa akagoma eti hana...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mlevi anarudi nyumbani usiku wa manane huku anawaza leo atafanyaje ili mke afungue mlango bila kumgombeza,maana siku zote akichelewa anapigiwa kelele. Akagonga mlango halafu mke akaja kufungua...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamaa mmoja amwambia jirani yake hvi..! Jamaa: Dah jirani leo siku ya tatu jicho linancheza cjui tatzo litakua nn..? Jirani:Sijui tatzo la jicho kucheza ila siku yakicheza ****** niambie..! Je...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huu ni mkasa wa kweli umemtokea ndugu yangu Nilikutana na binti mmoja ambaye alikuwa akiishi kwa shemeji yake (mume wa dada yake) ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Nikampenda sana binti...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna tetesi zimeenea huku mtaani kuwa FACEBOOK inafungwa tarehe 15 July 2012. Kuna ukweli wowote wanaJF??
0 Reactions
18 Replies
2K Views
mimi ndio naingia hapa jamani,nadhani sina haja ya kupiga hodi,mjanja aambiwi karibu,anajikaribisha mwenyewe
0 Reactions
1 Replies
971 Views
jamani naomba kuhuliza hivi ukimkuta mwanamke ana jinsia mbili ya kike na ya kiume na zote zinafanya kazi utadili nae au utakamkimbia?
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Mtoto: Baba mimi naweza kumuoa Mama yako? Baba: Hapana mwanangu, hilo haliwezekani kabisa! Mtoto: Aaaa.. Baba.., mbona wewe ulimuoa Mama yangu? Baba: Ebu toka hapa nenda kacheze maswali gani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baba: Unamjua Anna Makinda mwanangu? Mtoto: Hapana Baba Baba: Pumbavu sana, kuwa makini na habari za kijamii haswa kufatilia Bunge Mtoto: Baba unamjua Godfrey..? Baba: Simjui Mtoto: Na wewe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bwana harusi matata aliyeoa mke machachari na mrembo, walipofika nyumbani Bwana harusi alitoa kanuni zake za maisha yao mapya: "Nitarudi nyumbani muda nitakao,nahitaji kupewa ninachotaka kutoka...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Hebu lione hili limwalimu. Halina mke?
0 Reactions
2 Replies
754 Views
Habari, Ninataka kutuma pm lakini kila nikituma inakuja msg hii, please complete both the subject and message fields. Naomba mnielekeze ninakua nimekosea wapi? Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom