JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwanza,kwa wale wenye mapenzi mema na ndoa zao najua mtakubaliana nami. . Leo nimeamua kuwawekea ukurasa huu maalumu,kwa wale wfte wanaowa-cheat waume/wake/boyfriend/girlfriend zao watubu...
1 Reactions
139 Replies
8K Views
*Marriage Software* This is what a guy wrote to our systems analyst (Marriage Software Division): Dear Systems Analyst, I am desperate for some help! I recently upgraded my program from...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwizi flani teja alimpiga mtama mchina.Mchina alipoanguka chini teja akampora simu yake. Mchina akaamua kumkimbiza huyo mwizi,mwizi alipoona mchina hachoki akaweka simu chini na akaendelea...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naingia mgahawani kupata kifungua kinywa natengenezewa mayai matatu na vikorombwezo vyake..bili inakuja elfu tatu kwa mayai tu..nauliza kwanini mayai mnauza bei ghali hivyo?? Mhudumu...
0 Reactions
1 Replies
706 Views
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Pamoja na kuwa na sura na tabia za kijelajela lakini hakika ubunifu wako unaibeba chi chat.Tulizana sasa,stick to what you can do best,to cheat chat,achana...
11 Reactions
327 Replies
16K Views
Mh speaker awali ya yote napenda kutoa pongezi za dhati kwa mke wangu mpendwa,leo amepika chai tamu sana Napenda kumpongeza mtoto wangu wa kike kwani mpaka mda huu hajapata boifrendi wala mimba...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, natumaini mmeshinda vyema. Iko hivi kuna dada mmoja simfaham kiundani, tumefahamiana kwenye mitandao ya kijamii. Yeye anasema yupo Senegal kwenye kambi ya wakimbizi, ila...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Tukio hilo nililishuhudia hivi karibuni katika viunga vya Mwenge hapa jiji Dar wakati naenda Hospitali. Nilikuwa nimesimama kwenye duka moja la kuuza Dawa kuulizia dawa fulani ambayo niliandikiwa...
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Hi, Just want to have/make more friends (normal), be wise. No Sex/gender restrictions...!!! LOVE YOU ALL!!
0 Reactions
2 Replies
688 Views
Yani mnapenda kupendwa tu na wenza wenu!!, nyie kupenda aah!!, unasubiria mwenzako tu aseme anakupenda!!. roho mbaya!!. Kwani inakuchukua gharama gani kumwambia mwenzako unampenda!!.
4 Reactions
33 Replies
3K Views
After having sex:- Americans n Europeans:They look for drinks to cool themselves n chat a little Asians(indians)-They rush to the kitchen,grab whatever is left there and eat it with chillie...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Q: Umenyoa nywele? A: Hapana, nimebadilisha kichwa. Q: Hiyo simu umenunua? A: Hapana nimeitengeneza mwenyewe. Q: Utakula mboga na nini? A: Mdomo (Simu inaita usiku,then aliyepiga...
4 Reactions
19 Replies
7K Views
Ajali za barabarani ni moja kati ya sababu zinazosababisha upotevu wa nguvu kazi ya taifa. Imekuwa kawaida kwa magari ya abiria kuzidisha mizigo wanakuwa wanawaomba watu wasogee mbele pindi...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mh..nipo ofisini kazi si nyingi kivile, Tunapata early tea hapa niko na immediate bosi wangu na wadada wawili.. Topic of discussion: Mdada huyu mmoja ana mume yu masomoni Dodoma. Sasa...
3 Reactions
78 Replies
5K Views
Kuna mlevi mmoja alipanda dala dala akaenda kukaa seat 1 na mlokole..yule mlokole akamwambia mlevi,kaka unaenda motoni..yule mlevi akajibu ahh konda kumbe hauendi kariakoo?nishushe basi
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Fikiria wewe ni mtangazaji wa mpira.Mechi inayochezwa ni kati ya timu ya mkoa wa Mbeya na timu ya mkoa wa Kagera....hivi ndivyo utakavyoutangaza mpira. ...Anakwenda pale Andendenisye...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Jogoo alikuwa anamkimbiza jike hku akiwaza nikimkamata leo atanikoma na nikimkosa nitazuga nafanya mazoezi ya kukimbia. Jike nae alikuwa anakimbia huku akiwaza ngoja nikimbie nikisimama...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Hi Wadada Mwezi mtukufu huo waja, leo nimeona nishare nanyi baadhi ya designs kutoka huko Dubai na Mascat ili mpate idea wakati mkijiandaa na mwezi Mtukufu. Kama umevutiwa kupata mambo zaidi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mwenzenu nimealikwa....ndo naenda hivo... Zinduna. Mwali. gfsonwin.. Kongosho.... Nanyi nyoote Njooooooooooooni......
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom