jamaa siku 1 akiwa katka pita pita zake
mtaan akahis kiu ya maji,ikabid aende
nyumba ya karibu.mara akabisha hodi
na kuomba maji ya kunywa,lakin
akaletewa maziwa, akayanywa yale
maziwa baada...
jaman kama wiki iliopita nilivoweka thread ya mimi kurudi nyumban basi hatmae nasty nipo uswahilin kwetu huku ila tuu ninasalamu nyingi sana kutoka kwa mamaangu mzazii, anawasalimu saana. Tena my...
Safari yenye Mkosi.
Safari toka Dar-Arusha ilitakiwa kuanza saa12.30 lkn imeanza saa 3.00asbh.
Na Hapa ni Maeneo ya Kabuku ambako tumepata pancha!
Utafikiri tunakwenda msitu wa Mabwepande aisee!!
Mama mmoja mjamzito - ujazito wake ukiwa kama miezi minane hivi - aliingia ndani ya basi na kuketi tayari kuanza safari. Mara akamuona kijana mmoja (umri upatao miaka 20 hivi) anamwangalia sana...
Tafadhali weka maneno kwenye hii picha (wanaongea nini)
I fetch it fromJF two years ago, kutest kumbu kumbu zetu
Please be funny and creative, let's have a good weekend
Interpretation yangu...
Hivi jamani kwa nini kusianzishwe huu utaribu humu jf,kama mtu akikosea asipewe "ban" bali apewe muda wa kufuta kauli yake kama ilivyo bungeni,na kama akikataa ndio apewe red card!Je,unaonaje haka...
Wadau,baada ya kufikiri saaana,sehemu gani ya kwenda kupumzika mimi na marafiki zangu kadhaa weekend hii,tumeamua twende Mabwepande msituni.Any one want to join us is invited.Hope will be a nice...
Kuwa Tanzania ndio nchi pekee duniani inayoongoza serekali kwa kutumia nguvu za giza, na kuloga wananchi wake ili wasijue haki zao na kuzidai. eti kuna wakatiu hata bungeni walimwaga unga mweupe...
Najua hii ilishawah kuwekwa hapa jamvin ila si mbaya kama nikikumbushia
Mhudumu anamletea supu mteja huku kidole gumba chake kikiwa ndan ya supu
Mteja"mbona unaleta supu huku kidole chako kikiwa...
Siku moja Tembo alipanga kuoa, katika sherehe yake ya harusi alisisitiza wahudhurie wanyama wakubwa tu, siku ya harusi Panya akatia timu mapema na kuketi ktk kiti cha mbele, Tembo alipomuona...
kuna mbunge mmja wa njombe aliamua kufanya ziara mbalimbali kwenye jimbo lake, alipokuwa huko akaruhusu wananchi watoe malalamiko yao na kisha yeye kuyajibu, mambo yalikuwa kama ifuatavyo:-
swali...
hapa ninaomba neema ya Mungu inisaidie! maana hii baridi si mchezo! niko na jaketi la leather lakini kabaridi naka-feel kweli kweli!
arusha, iringa, mafinga, njombe, kilimanjaro wanaweza...
Hakika ni ukweli unaokubalika upo juu nilidhani nimefika peke yangu lakini kwenye tafiti zangu ni wengi tu wamefika je utakubali nitoke na wewe out japo kwa kesho tu
wapenzi wa chit chat habari za asubuhi.
This morning napenda kumpa big up ma swtlo Kaizer kwa kazi nzuri aliyoifanya hadi babu yetu Asprin akafunguliwa huko jela.
Its true Kaizer you are good...
A married man was
having an affair
with his secretary.
One day, their
passions overcame
them and they took off for her
house, where they
made passionate
love all afternoon.
Exhausted from...
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.alipoulizwa na polisi juu ya maiti mambo yalikuwa hivi;
POLISI: zipo wapi maiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.