Baba mbunge wanasema wewe hauji lakini wewe umekuja kabisa. Nashukuru sana mgeni wa heshima mbunge wetu kwa sababu ulihaidi kunya hapa ukaharisha, ukahaidi kunya hapa tena ukaharisha tena...
Nani yupo available twende zetu sabasaba kesho.
Bishanga, cacico, Erickb52, Kaizer, gfsonwin rogi, at wooote mliopo are you people available kesho mnipe kampan?
Nilikuwa nawaza maisha yalivyo magumu.....ghafla nacheck kwenye screen nakutana na like ya The queen of JF Moderators Roulette kwenye post yangu..........ghafla nikahisi kijoto fulani kinapita...
Wana JF are also inclusive kwa sababu you know much concerning the state Matters.
1.) Omba Wabunge wachawi wote wadhoofike na uchawi wao uwarejee wenyewe.
Ikibidi wafe.
2.) Piga Dua ya...
wana JF nikiwa pale TRA maeneo ya Mwenge nakutana na kioja cha mwaka!
nilikuwa nimetinga hapo siku ya J3 tarehe 02/07 kurenew Road Licence ya
kijibajaji changu tukiwa kwenye foleni ya kuelekea...
Padri na sister walikuwa wanasafiri wakafika sehemu fluani ikawa ni usiku,ikawabidi waende kulala guest.
Kufika guest vyumba vimejaa kimebaki kimoja tu! wakaamua kulala pamoja ila wakajitenga...
Mama na mwanae walikuwa
ndani ya tax usiku
wakapitishwa mitaa ambyo
kuna wanawake wanaojiuza
kukawa na mazungumzo hvi
mtoto:mama hao watu walio
cmama pembezon mwa bara2
wanafanya nn...
Jamaa kaingia chuo katikati ya simesta kaishiwa akamuandikia baba yake barua.
'Chuoni mambo mazuri sana, kuna maajabu hapa maprofesa hapa wamegundua njia ya kufundisha mbwa kuongea, mlete Bobi...
kama kawaida yao uko uswazi,juzi walinitia mkali kiasi cha kushindwa kuwanyaka vizuri ma'ke waliniacha hoi kidogo nusura nijikimambi baada ya kunyimwa albino wangu nikaambae na noha uku nikishusha...
wadau heshma kubwa ziwaendee leo nimetimiza rasmi mwaka tangu niwe active member wa forum hii. Hata nililiifahamu jukwaa hili mwaka mmoja nyuma na nilikuwa naingia humu kama guest.
Hakika jf...
A young man and his date were parked on a back road some distance from town. They were about to have sex when the girl stopped.
"I really should have mentioned this earlier, but I'm actually a...
Thomas & Macho went for an interview.
Thomas went to school & Macho didn't!
So Thomas was being interviewed first.
Interviewer: When were computers invented?
Thomas: In 1910 & improved in1980...
Mangi kakamatwa na askari.alipofika kituoni mambo yalikuwa ivi.
Askari ...unaitwa nani?
Mchaga ... Mboya afande!
Askari... Wacha kufanya utani na chombo cha usalama.untaja sehemu zangu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.