..sina NENO lingine.....zaidi ya...
...ukimuona utamuona NATURALY...sio mpenda MAKUU
...na KILA nikitazama nazidi KUMPENDA.. TU...
..Mtoto Hana Mapozi...na wala si SISTA duu.. Preta
Tangu nikiwa na umri wa miaka 25 nilitamani kuwa na mwenza lakini kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata ambaye naona tunaweza kuanzisha familia pamoja. Naomba nieleweke kuwa I'm not so selective au...
An Arab prince writes to his sheikh
father:
Dear Dad, Berlin is wonderful,
people r nice and I really like it here.
But Dad I am a bit ashamed 2 arrive at
my own college with my...
Heshima yenu wana Chit Chat, jana jioni nimetumiwa pesa kwa M-Pesa na mtu nisiyemjua na jina limeonyesha ni la kike. Nilipoipiga namba hiyo haikupatikana mpaka sasa haipatikani.
Hapa nilipo...
Mama mmoja mswahili na
mwanawe wa miaka 5
walikuwa ndani ya taxi
usiku wakapitishwa mitaa
ambayo kuna wanawake
wanajiuza:-
MTOTO:"Mama hao watu
waliosimama kando ya
barabara wanafanya...
UKIPENDA hakuna anaeamini km unapenda, UKIUMIA hakuna anaehc maumivu yako, UKILIA hakuna anaethamini kilio chako, ila BANJA sasa uone!! kila mtu JICHO KWAKO!!!
Tangu nifike huku Zanzibar jana, nimekuwa na bahati ya kukutana na mitetea wengi, natamani nijitwalie japo mtetea mmoja kwa ajili ya maandalizi ya kupikiwa futari wakati wa mwezi...
Wadau nataraji mmeamka salimini.
Najua vema hapa si jukwaa la malalamiko.
Bt nimeileta hapa kwani najua kule malalamikoni wadau ni nadra kuvinjari hadi member anapokua na tatizo ndiyo huzuru...
BEST huyu si mvuta bangi jamani, bali ni kijana mwenye nguvu za kutosha akifanya tahmini juu ya mgomo wa madaktari, ukosefu wa ajira na mambo mengine yanayokwenda katika nchi yetu.
Katika wodi ya vichaa, daktari alitaka kuwapima wagonjwa wake kama wamepata unafuu ama wameimprove hivyo alichora mlango ukutani na kuwaambia vichaa wote watoke nje kupitia ule mlango ulochorwa...
At school, a boy was told by a classmate that most adults are hiding at least one dark secret, and that this makes it very easy to blackmail them by saying, "I know the whole truth". The boy...
Mfugaji wa kasuku kamrudisha kasuku kwa muuzaji ampe mwingine kwani huyu anatukana...
Muuzaji kampa mwingine kamwambia huyu mstaarabu, tena akinyanyua mguu wa kulia anaongea kingereza, akinyanyua...
kuna ndoa moja inapenda sana tena saaaaaaan mazadi kila kukisha siku moja ikwa hivi na ndoa ikaingia ndoa
mke:kaenda dukani kumnunulia mumewe nguo za ndani zinazofanana
mume:asante mke wangu kwa...
Juzi kati nlikua napita mitaa ya Mwananyamala mida ya Saa Saba usiku,
Kukatiza tu nikakutana na vibaka kama 20 wakiwa full equipped with visu, nondo, panga, sime n.k.
Basi nikajua leo ndio...
Najua ilikuwepugi hapa, lakini ngoja tujikumbushe kwa faida ya nyu kamaz
Mkulima amejiwa na mwaandishi wa magazeti kumuhoji ... kuhusu maisha ya shambani,na mkulima huyu hawapendi
waandishi wa...
Wanasiasa 40walipata ajali mbaya porini,mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.Alipoulizwa na polisi juu ya ajali hiyo na maiti zilipo mambo yalikuwa hivi...
...Advertising Agency...
zimekosa Ubunifu..katika matangazo yao hasa hizi Kampuni Za Simu
matangazo yao mengi siku hizi yanafanana kama si kuigana
.1..Tigo ..walikuja na wimbo wa Dully...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.