Binti alirudi kijijini baada ya miaka 5. BABA: We mwanaharamu umeondoka hapa kwa miaka mitano hukutaka kutuandikia barua wala kutuma salamu unajua
ulimtesa sana mama yako?
BINTI: Baba niliona...
Mme anamlalamikia pasta, "Tangu mke wangu awe mlokole ananikera sana wakati wa kushiriki tendo la ndoa maneno yake ya mapenzi yamekuwa 'ooh haleluya, asante simba wa yuda, thank u alfa na...
Nimemsikia Boniface mkwasa akikana kuwa dadazetu hawajishughulishi na usagaji kama vyombo vya habari vinavyo ripoti, kumbe kambini hawajifunzi soka tu ni pamoja na Malavu davi?nimesikia kwenye...
hamjamboni wanaCC
dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe...
HIKI NI KAMA KICHEKESHO LAKINI PIA YASIKITISHA,UBISHI WACHANGIA PIA AJALI YA CANTER - MBEYA.
Gari aina ya Canter Toyota ikiwa imetumbukia katika mto Jianga maeneo ya Ilolo Jijini...
Mzungu kaja bongo kutalii. Baada ya siku kadhaa kakutana na rafiki yake wa kibongo. Wameketi mahali wanapata vinywaji na bites huku wakibadilishana mawazo. Sehemu ya mazungumzo yao ni hii...
I'm a word of 5 letters.People eat me.If u remove my 1st letter i'll b a form of energy.If u remove my 1st 2 letters people will need me 4 living.If u remove my 1st 3 letters,i'll b near u.If u...
1. You are reading this.
2. You can't say M without
touching your lips
3. You just tried it
4. You just smiled or laughed.
6. You are a boy/girl.
7. You didnt realize I skipped 5...
MziziMkavu aka mziziology ameamua kubariki mgomo jf doctorz kwa members wake kutorudisha fadhila.amejikita sana kwenye magojwa malovee aka mahaba ni mtaalamu sana magojwa hayo ni...
Kwa wale mashabiki wa series hasa zile zilizopata umaarufu sana kama 24 ambapo kuna mtu anaitwa Jack Bauer, yuko kwenye tv series nyingine inaitwa The Confession ambayo imekaa ki Jack kweli...
Jamaa yangu mmoja alikuwa anatembea na mke wa mtu, akaonywa hakusukia. Cku moja akamka asubuh akasikia maumivu ya ghafla kwenye nyeti zake, bado akiwa anashangaa akamuona panya anapotelea kwenye...
za weekend wana CC? me pouwa kbsa ndan ya bandari ya salama.
jaman kuna watu wanabore kweli ni wasumbu square! mf. unamtext mtu afu hajibu kwanini unaendelea?
unampigia cm hapokei / anakata...
Klabu ya Michezo ya JF imeanzishwa. Kwa sasa tunaandaa timu ya Mpira wa Miguu lakini baadaye michezo mengine kama Mpira wa Kikapu, Riadha, Baiskeli, Kuogelea...zitaanzishwa.Tayari wachezaji watatu...
Nakerwa sana na barabara ya Mikocheni sana sana kwa kweri aiseee nakwerwa saaana aisee......kuanzia pale baraka plaza mpaka klauzi kuna wale wapuuzi puuzi fulani wamechimba barabara kwa...
Jamaa mmoja mlevi alikuwa na mazoea ya kurudi home usiku sana, siku moja karudi mishale ya saa tisa usiku.maongez kati yake na mkewe yalikuwa hivi
Mlevi,.Dear, have you put automatic bulb in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.