Nimerudi zangu toka kazini na kufikia katika sofa hapa sebuleni kwangu. Nikaamua kuwasha ka-tv kangu ka nchi kumi na nne ili nijiburudishe na kupata taarifa. Baada ya muda nasikia sauti ya Pinda...
Jamani vp jpili inasemaje?
tuichangamshe siku yetu kwa kujikumbusha yale maneno yanayoandikwa nyuma ya dala dala zetu, vipo vijineno fla fla na mafumbo mbali yanafuraisha yanaandikwa nyuma...
Kuna mshkaji alirudi usiku akiwa amelewa chakali. Alipofika chumbani alikuta mke wake keshalala fofofo ile kuangalia pembeni akaona glass ina kimiminika cha njano ndani yake. Jamaa akajua moja kwa...
Wajameni mpangaji mwenzangu kila siku ananitambia kuwa mambo na vitu vyote vizuri Tanzania vinatoka Mbeya. Nililikataa hili lakini siku zinavyosonga mbele nakaribia kuamini. Niiongezeeni data ili...
Baba na mtoto
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio nasafisha choo...
i have taken it from somewhere there.
A student at college had failed his final law papers and was obviously not happy,
he questioned the professor & decided to make a deal with him...
Wapendwa wana JF wenzangu, ninapenda kuwatahadharisha watumiaji wote wa facebook waliopo katika jamvi hili hata wale ambao hawapo katika jamvi hili kuwa makini pale mtumiapo facebook maana leo...
Ni jini mahaba, anaenda kwa jina la Maimuna! Just imagine her kama Jlo, Jokate or Hadija Kopa, ndivyo atakavyo appear!
Once u have her in ur dream ndivyo utakavyo yern for more!
Gals u r not...
Jamaa aliingia baa akiwa na bastola na kukuta baa imejaa watu , wengi wakiwa mwanaume na mwanamke. Akasimama katikati ya baa na kupiga risasi moja juu na kutamka kwa sauti. "NAMTAFUTA MKE WANGU...
Mama mmoja kaenda sokoni kununua kasuku.Aliwakuta kasuku watatu,wa kwanza anauzwa $170,wa pili $100 na wa tatu $10. Akahoji;'kwanini huyu kasuku wa tatu anauzwa bei rahisi,akajibiwa,'ndio,anauzwa...
waziri Mkuu - erickb52
waziri wa fedha - excellent
waziri wa ulinzi- kingkong III
waziri asiye na Wizara Maalum ni - Kongosho kwa sababu yeye mwenyewe hatumueelewi!
Nidhaili huyu ni mahili lakini huyu mahiri nidhahili na pata tabu kufahamu umahili wake
Hasa tusomapo mashahiri yaliyomahiri nidhahili sisitahili hata kugusa shahiri lake
Anastahili kuitwa fahari...
Sijawahi dhani hili litantokea mimi..nimetoka zangu moshi na saibaba la karatu linapita moshi saa saba hivi..
nikapitiwa na kijiusingizi kwa sababu huko nlikotoka mambo nimeacha shwaari!!
Sasa...
Inaelekea saa tano za usiku sasa, Daladala sizioni, na simu ya mama Ngina haipatikani…………!
Haya mambo ya kwenda shamba jioni ndio madhara yake, ngoja nitafute Guest...
''we mwanaume gani,unaskia raha tu mi nakuja kwako wala hushangai napendezaje,huoni mapafyume nnayonukia wala huushangai. Unashugulika wala sh 10 hunipi,cji tena kwako''
wakuu mimi sina la kuongea, vipi tukizomewa na mashabiki wa simba tuwajibuje? naomba mnisaidie, naona aibu sana. lakini refa kawapendelea simba, yaani anawapa penalt nne!?. hii sio haki. kama vipi...
Ondoa neno moja moja kutoka sentensi hii.<1>Oooh boy please don't touch me at all!.<2>Oooh boy please don't touch me at.<3>Oooh boy please don't touch me.<4>Oooh boy please don't touch.<5>Oooh boy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.