Jamani wadau wa MMU,mwenzenu nasumbuliwa na mafua balaa,nimeshndwa hadi kuhudhuria pindi leo.niombeeni nipone haraka,pia anae jua dawa ya mafua anisaidie,maana yananinyima raha mwenzenu.
Njemba 1 ilikua imelewa, ikawa inatembea road mara ikaona taa 2 mbele, kulia na kushoto, ikasema hawa bodaboda vp; ikasimama katikati ya road; da kushangaa kidogo kumbe ni bonge la fuso limeshika...
Ukiwa Mandela rd utawaona vijana wana mifuko ya plastic wanakinga
mafuta kutoka kwenye tank za malori.
Je mafuta hayo wanayapeleka wapi?
Nimejaribu kuwauliza hawakunipa jibu.
​A secretary complained about her boss.....
She said, "My boss is so sex-crazed". Every time he comes into the office,
I must do the LAPTOP position and then the DESKTOP position,
followed...
kulikuwa na vuguvugu kubwa kuhusuana na hizi fulana. sasa sijasikia tena hili suala. wala sijaona mdau yoyote popote kavaa nembo ya JF ilhali kuna jeshi kubwa na wana jf humu uraiani. niwaulize...
Kuna msukuma mwenzangu huku nilipo,ni tajiri sana wa ng'ombe mzee huyu haja soma hata lile darasa la popo hata kiswahili cha kuombea maji hajui ila humdanganyi kitu katika kujua hesabu ya ng'ombe...
kuna jama alikuwa anamlalamikia dem wake ile mbaya MAMBO YALIKUWA HIVI.
Jamaa: kwanini umeniita nije kwenu wakati we haupo !
Dem: jamani dia si uliniambia siku kukiwa hamna mtu nyumbani ndo...
Kuna baadhi ya mambo ukiyafanya kutokana na hali na mazingira jamii inaweza isikuelewe je unalijua hilo?
1. Mchungaji kukutwa bar ukiwa mitungi kinoma
2. Kuvaa suti huku ukiwa na...
About 3 days ago nilituma post yenye kichwa cha https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/262887-have-u-guys-watched-the-latest-ifm-sex-tape.html
Mpaka sasa hivi nimeshatumiwa emails 180 na...
Mimi . Naapa kwamba, nitakuwa mwaminifu na mtiifu kwa Jamiiforums na nitaipenda na kuitumia kwa moyo wangu wote hadi pale kifo kitakaponitenganisha na Jamii forums, na hata huko ahera...
Je kwanini rais asingeteua wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wasingekuwa wanatoka katika mikoa husika mfano mkuu wa mkoa wa Njombe awe anatokea Njombe na mkuu wa wilaya ya Makete awe anatokea...
...kutokana na manjonjo...utashi...utani na namna ya kuishi na watu/jamii...unafikiri nani humu JF anaweza kuwa mshiriki bora wa Big Braza?...Na akatuletea ushindi?
na aambatane na nani?kama...
Siku moja bana nilikuwa hotel fulan! Wakaingia kwa pamoja Mzungu na Msukuma mmoja muuza ng'ombe! Ilipofika wakati wa kuagiza vyakula: MZUNGU; Waiter bring one cup of coffee. Sasa yule msukuma...
Usafiri daladala-Majanga
Mavazi ya kina dada-Majanga
Huduma za afya-Majanga
Vita Malaria-Majanga
Vita UKIMWI-Majanga
Vita TB-Majanga
Vita Madawa-Majanga
Bei ya bidhaa-Majanga
Usalama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.