JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jf ni jukwaa lililojaa kina aina ya radha na burudani, sema kwa sasa kuna baadhi ya wajinga wachache ambao wana taka kuigeuza kuwa jukwaa la kutukanana na kukashifiana kwa misingi ya dini na...
3 Reactions
3 Replies
976 Views
Na kucheka kote huko mpaka kuwekwa duara unaweza kukuta hawajuani majina wala wanapoishi. Kongole wanaume. Using tayari😆😆
5 Reactions
16 Replies
892 Views
Zaidi ya kusema niko Juu Ya mawe sijui msemo mwingine unaomaanisha nimeishiwa Hela. Hebu nipeni msemo mkali zaidi ili nizidi kukwepa Vizinga wazee😅😅😂😂😂 Sikukuu ndio hizo zinakuja kwa kasi sana😎
1 Reactions
12 Replies
924 Views
Juzi kuna barua nilipeleka kwa kiongozi fulani ili atie sahihi yake; kiukweli kila nikitizama mwandiko aliutumia hapa, naona ni kama amechafua barua yangu[emoji16] yaani kaandika shagarabagala...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Haka kautafiti nimekafanya leo asubuhi hapa Kariakoo. Both kwa ladies and gentlemen. Ukitazama kiatu chake then umtazame sura yake unaona kabisa alistahili kuvaa kiatu hicho . Hata kama kiatu...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Haaa ama kweli shika atamshika hadi Mugabe na tutayaona mengi sasa
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Hamjambo, Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta. Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe...
15 Reactions
62 Replies
4K Views
Jamaa wawili walikutana kwenye kituo cha basi wakafanya mazungumzo. Mmoja aling'ang'ania kuzungumzia kero za familia yake hatimaye mwenzake akasema:- " Unadhani familia yako ina matatizo?" Basi...
12 Reactions
17 Replies
4K Views
Mwaka wangu huu, nimepiga hat trick nipeni mpira wangu. Asante sana Monica, Alice na Somoe kwa kunizalia. Sasa nimefikisha watoto 15, nashukuru kojo langu huwa halidanganyi, sura ngumu kama...
1 Reactions
16 Replies
526 Views
Wasukuma ni kabila kubwa katika makabila yaliyopo hapa Tanzania. Na kwa bahati nzuri nina mke wa Kisukuma [emoji16]. ila hawa Wasukuma wasikie wakiwa na pesa ndugu zangu wa makabila mengine...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Ni usiku tena. Mambo mengi na pilikapilika za mchana zimekwisha. Tutakiane usiku mwema. Singles, tutulie kwenye rooms zetu. Huu si muda wa kwenda kusaka mbususu/mkuyenge mtaani. Fikiri mambo...
5 Reactions
12 Replies
659 Views
Tuwaambie ilipo au tuache kwa maslai ya Taifa letu. Hivi kwa Hali ilivyo sasa kununua kichwa Kama hicho na behewa zake inaweza kugharimu kiasi gani. Mie najua sehemu ilipo na mmiliki pia nabei...
0 Reactions
3 Replies
514 Views
Nilitafakari sana kichwa cha habari hii. Nipo kwenye basi kama nivyosema hapo, nimekaa zangu siti za double nikiwa dirishani, akaingia mrembo pisi kali ya hatari. Cha ajabu ikanikalia na miracle...
3 Reactions
12 Replies
904 Views
Nimekuwa mnywaji nisiye na kiasi, hivyo naona pombe siyo salama tena kwangu, hivyo kuanzia leo Jumatano tarehe 25 August 21 nimeamua kuacha pombe bye bye Safari lager
10 Reactions
121 Replies
7K Views
God is good all the time, All the time....(don moen). Humu ndani kuna vijana wanatupiga za uso nyingi sana. Mpaka sasa nimeshawakariri members 21 (kwa Id zao), hawa watu ni waongo, ninaposema ni...
24 Reactions
67 Replies
2K Views
Habari za wakati huu expert mwenzangu[emoji4] siku moja nitauliza ni kwanini tunaitwa "experts" isije kuwa ni maexperts wa kuandika nyuzi[emoji23][emoji119] ..mnaokaa karibu na bahari, maziwa...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Huyo mtu ambaye upo naye kwenye mahusiano kwasasa akisema muachane utasemaje?
1 Reactions
7 Replies
466 Views
Mimi naanza na udereva wa magari masafa marefu, hasa nje ya nchi.
1 Reactions
5 Replies
621 Views
Wazee hivi hakuna namna ya kuishi tu hata kwa kipato duni ? Kweli mwanaume anajitoa ufaham angalau apate chochote kitu 😂😂😂. Mkulungwa Mushi hii sio sawa!!
6 Reactions
33 Replies
1K Views
Nina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom