JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanaume msiokunywa bia na hampendi football kwani starehe yenu ni nini?
0 Reactions
13 Replies
423 Views
Wakuu Kuna rhumba ikipigwa huku ukiwa unapata beer, wine, au spirits unahisi raha zote ziko juu yako, Upande wangu nikiwa sehemu ya wazi kabisa huku naangalia maji ya bahari au ziwa huku upepo...
0 Reactions
2 Replies
353 Views
Habari, ipi tofauti ya LODGE na GUESTHOUSE? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
16 Replies
11K Views
Habari wana Jf, Hivi ni msichana yupi au mwanaume yupi hutakuja kumsahau katika kipindi chote.
0 Reactions
110 Replies
14K Views
Habari zenu wana JF. Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, dhumuni la Uzi huu ni kupeana Facts au kujuzana mambo mbalimbali yanaweza kuwa ya kustaajabisha au la lakini hapo tunakuwa na...
57 Reactions
4K Replies
119K Views
Nimekuwa na trend ya kuja Zanziba kila wakati kwa majukumu mbalimbali.Changamoto kubwa huku ni bei ya hotel ambayo mara zote..minimum ni TZS 60,000 ambayo ni Hotel ya kawaida kabisa.Sasa juzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtu unaandika "I play four you" halafu unaweka public kabisaaa? Na bado unatembea kifua mbereeee..(in Maguz tone) Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
9 Reactions
31 Replies
1K Views
Wanawake kuna muda mnakua hamjielew nini hasa mnataka,na ifike mahala tumalize baadhi ya mijadala iloyokua inajirudia humu jukwaa la MMU, Naomba mnyooshe maelezo apa kabla hatujavuka mwaka tujue...
2 Reactions
35 Replies
1K Views
Ewe msomaj wa JF naomba uniambie kati ya furaha na pesa kipi ni sababu ya kupatikana kwa mwenzake? Kwa maana je, furaha ni sababu ya kupata pesa au pesa ni sababu ya kupata furaha? Naomba...
1 Reactions
4 Replies
414 Views
Namshukuru Mungu Kwa uzima. Hii ilikuwa ni moja ya ndoto zangu siku nifanikiwe kufanya mapenzi na wanawake wote wa Familia moja pamoja na ndugu zao wote wa tumbo moja Jana nimefikia nusu ya haya...
6 Reactions
101 Replies
5K Views
Acha niwape vidonge vy kutuliz complain. Raha nadekezwa Raha na enjoy. Kupendwa Raha. _ssssss yan DUNIA nzima n yy 2 ata nkifa nizikw n picha yakee yeye[emoji35][emoji35]
1 Reactions
33 Replies
1K Views
Amin kuwa Mungu ndie kila kitu bila yeye, wewe usingelikuwa hapo Mrudie muumba wako maana siku za mwanadam aliyezaliwa na mwanamke ni chache na Zimejaa taabu ndani yake amini kila amwaminie...
2 Reactions
13 Replies
443 Views
Mmm kweli ukistaajabu ya Firauni utayaona ya Yuda kujinyonga. Mambo mengi hutokea; kujali, kusalitiwa, chuki, wivu. Tazama mpezi unanipa furaha, mzuri wa Dunia nzima. Usiende mbali sana uwepo...
1 Reactions
63 Replies
1K Views
Niwe mkweli hivi makusudi ya Mungu kutuumba sisi wanaume na ubabaifu wa macho, au ni mimi tu mwenye macho ya Ndoige sieleweki vybez zangu ni zipi white Ndoige, dark Ndoige, nundu Ndoige, mshepu...
0 Reactions
4 Replies
492 Views
Kuna kipindi fulani mida ya usiku nimelala, ghafla juu yangu nikaona nuru nyeupee imeniwakia na sauti ikaanza kuongea, huwezi amini ile lugha sikuielewa. Siku nyingine nimewahi kulala mida saa...
1 Reactions
1 Replies
384 Views
Habari wakuu! Naimani mu wazima, kwa wenye changamoto, Mungu awafanyie wepesi. Niende moja kwa moja kwenye hoja. Kuna hii tabia ya mtu anapokuwa baduni anaoga inakera sana! Yaani akiingia yeye...
2 Reactions
0 Replies
707 Views
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko. Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya. Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri...
7 Reactions
96 Replies
4K Views
Hizi ni simu za wazee wa kazi. Hazimalizi chaji hovyo January hata kama aweke mgao mwaka mzima ni kubofya tu kama tunapushi walevi.
5 Reactions
60 Replies
2K Views
Katika shule/chuo hakosekani mwalimu msumbufu na ambaye huwafuatilia sana wanafunzi hata ktk mambo madogo madogo na kuwapa adhabu za ajabu ajabu. Leo nataka tuwakumbuke walimu hawa pamoja na...
8 Reactions
514 Replies
57K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, Kwa wale mnaopenda kusafiri kama mimi, nitajie stand/bus terminals zako bora ulizoziona. Binafsi nimezipenda bus terminals za Kange -Tanga Mjini na...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom