JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
YOU CAN NOT CHEAT DEATH Death came to a guy and said, "my friend, today is your day". The guy said, "but I am not ready". Death said, "well you are next on my list". So the guy...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
baraa bara kabisa wapenzi wasomaji wa ujumbe huu embu naomba mnifahamishe inakuwaje unakuta prizenta wa ki tz wanapokuwa wanaigana kutangaza yaani mpaka inakuwa ina boa coz unakuta umefungua redio...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni siku ya mikate isiyotiwa chachu (alhamisi kuu). Tumeanza rasmi siku tatu kuu za Pasaka. Tusikose kwenye ibada wapendwa. Mungu awabariki sana!
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Mshkaji mmoja alikua na dingi yake akamwona demu wake anakuja bahati mbaya dingi alikuwa mkali na mazungumzo yao yalikua hivi. MSHIKAJI;umekuja kuchukua kile kitabu cha speak english my farther...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
NiliyemBEEP kanitumia tafadhali nipigie...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
ETI jamani kuna chama kimoja cha ushirika zamani kilikuwa kinaitwa CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO???
0 Reactions
11 Replies
1K Views
chuoni kwe2 hapa saut mwanza leo wamebandika matokeo kama kawaida huwa hawarushi kwenye net kwanza kwa sababu za kiusalama kila kituo cha fakati ambapo wamebandika matokeo gari la ambulance na...
0 Reactions
3 Replies
918 Views
Siku hizi Harusi zimekuwa si sherehe za kuwapongeza maharusi bali ni shughuli za gharama sana!!! Siku hizi ili kamati za harusi zianze kujadili kuandaa harusi yako angalau wewe muoaji uwe na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nilianza mbele kama kawaida,akadai amechoka,nikamgeuza nyuma akaanza kulalamika ,nikataka nimweke staili nyingine,akaanza kulia.Aiseee!kumnyoa mtoto mdogo kazi kweli kweli.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Police walikuwa kwenye msako usiku kukamata watu wanaoendesha baiskeli bila taa, akawa anakuja jamaa mbio na baiskeli bila taa. Mazungumzo yakawa hivi. Police-Wapi taa. Jamaa-Ndioo napita.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Unadhani watu huwa wanakuwaje Vikojozi??umeanza kulala usingizi mtamu unaanza mara mkojo nao unakuja gafla,halafu kwenda kukojoa unaona uvivu inabidi upotezee,unadhani nini kitafwata?halafu...
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Hello great thinkers. Its my birthday. Karibuni home baadae kutakua na tafrija fupi. Vyakula vitakavyokuwepo ni kande kwa maharage na wali choroko. Vinywaji ni wanzuki, kangara, ulanzi, komon...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Last Thursday nilienda kwa ka mkutano kafupi hivi ambako kalikuwa kana comprise kama watu 30 hivi. Bahati mbaya nilifika nimechelewa na kwa kuwa nilikuwa kwenye list ya kufanya presentation...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
...niwalambe nisiwalambeeeeeee.... acheni ushamba....washamba nyie....(nimenukuu) kuna mtu najaribu kumsaka humu Jf...tusaidiane...kauli zake kama zinaendana na huyu...kama anajijua...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
siku moja bwana msomi alienda kuomba kazi kwenye kampuni moja ,alimkuta mtu *mmoja mlangoni akiwa mchafu, kifua wazi huku kashika rungu, yule mtu alimsimamisha yule msomi alafu akamslimia.'habari...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu. Napenda kuwatakia Jumapili njema ya matawi twendeni tukasherekee wapendwa. Muwe na siku njema tukijiandaa kwa pasaka. Mungu awabariki wote. Amen
1 Reactions
25 Replies
3K Views
mama:docta mkono wangu wa kushoto unaniuma sana docta:usihofu mama ni ktokana na umri mkubwa mama:lakin mkono wngu wa kulia ni mzima kabisa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
...Yahaya Hussein anakiita chama kuzimu, usipobadili mwenendo na kumwomba Mungu kwa kutenda yanayompendeza hakika chama kitafariki. ...maji mafupi ameweka "chuma ulete" kwa mifuko ya watu ndio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
My darling husband, Before you return from your business trip, I just want to let you know about the small accident I had with the pick up truck when I turned into the driveway...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Wanajf eti mmeckia kil music awards kwa mwaka huu znafanyika lini na wapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom